kinjumbi one
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 1,694
- 2,132
bado hajawa rais hapo akiwa rais itakuaje.
Hakika tunahitaji kujua kijana huyu yuko wapi hadi sasa !
Hakika tunahitaji kujua kijana huyu yuko wapi hadi sasa !
Kwa nini mmemefufua uzi wa 2007?,nini kilichopo nyuma ya pazia?, kwamba lowassa naye ni dictator?, just thinking loud!Atakuwa TISS.
Naona ya kale yanafukunyuliwa. Sio bure kuna kitu.Duuu! Mwaka huu yote yaliyo uvunguni yatawekwa juu. JF NEVER LOSES MEMORY!
naomba kuuliza , huyu kijana bado yuko hai hadi leo ?
Kwa ufupi baadhi ya viongozi wa Tz are very ignorant, sijui kama hata walienda shule kwa kweli, au huko shuleni walikazwa na walimu wao, ili tu wamalize hizo degree. Yaani mtoto anakuuliza swali wewe unamsakama kwa nini? Mjibu, wewe si mwanaume wewe! kwa nini jamani hawa viongozi wanafikiria watz wote ni wapambe wao, wajinga wasiojua kinachoendelea?
Hawa viongozi kama Lowassa ndio wanaoharibu nchi hawa, huyu sijui ana undugu na Kibaki, maanake wanaonekana kuwa na tabia moja za kibabe, walilelewa na mama mmoja nini?
Huyu ndo mnampigia chepuo awe rais? Log!