Mtoto akimbiza waumini kanisani!

Mtoto akimbiza waumini kanisani!

mpemba mbishi

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2011
Posts
1,132
Reaction score
188
Kanisani kulikua na ibada ya maombi PADRi akasema kama kuna muumin yeyote ana maombi ainuke.
Mara mtoto akaenuka na kuanza kuwaombea wazazi wake,
Akaanza mtoto: "Nawaombea wale wote wasiokua na mavazi kama wale wasichana wanaokaa uchi kwenye SIMU ya BABA wapate hela wanunue nguo,
na pia nawaombea wale wasio kua na nyumba kama wale wanaume wanaokuja kulala na MAMA wakati baba akiwa hayupo wapate uwezo wajenge nyumba zao waache kuja kumsubua MAMA usiku.
Mh! Kazi kwako !
 
Balaa wakati mwingine tuwaulize watoto wataenda kuomba nini hapo baadae.
 
Wewe kweli "wambuzi" huna haya wala aibu! Yaani mdau kajipinda kuteremsha uzi, then wakamtisha za uso ki-viazi !

Hahaha umeonaeeeeeeeee! Lakini usijali mdauu kumbuka bondia mpiganaji haogopi ngumi za usoo
 
Mtoto amefanya vema kuwaombea wazazi wake wote waache uzinzi, Mungu husikia sana sala za watoto na watabadilika.
 
Dogo apewe kher zote kumi,kwan kawaokoa wazaz wake kutoka ktk utumwa wa dhambi.
 
Very good mtoto. Wazazi shame on you.

Mzee mzima unaweka picha wa wanawake wakiwa uchi kwenye simu yako. Mpige picha mkeo na wanao wakiwa uchi uweke kwenye simu kama unaona fahari. MNAJIDHALILISHA!

Na we mama, mzee katoka kidogo. Unaingiza midume mingine wakuzamishie midude yao, acha ujinga. Wewe ni mke wa mtu. ONA SASA WATOTO WANAKUUMBUA.
 
"Hawa watoto waliozaliwa kipindi cha jakaya yupo madarakani" by fella....nukta
 
huyu dogo inaonekana anampigia chabo mama yake wakati anapewa mambo
 
Back
Top Bottom