Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 40,603
- 52,317
Hivi wewe mtoto wako wa umri wa miaka 15 akurukie
akucharaze mashoka hadi ufe
unaweza kutetea kitu kama hicho kweli,
Acha iwe fundisho tu kwa wengine mkuu,
si unaona hali inavyokuwa ngumu vijana hawajali wazazi kabisa siku hizi.
akucharaze mashoka hadi ufe
unaweza kutetea kitu kama hicho kweli,
Acha iwe fundisho tu kwa wengine mkuu,
si unaona hali inavyokuwa ngumu vijana hawajali wazazi kabisa siku hizi.
Swahiba ....acha munkari!!! alitenda kosa hilo akiwa na miaka mingapi??