Mtoto Ahukumiwa Kunyongwa hadi Kufa!!

Spear_

JF-Expert Member
Dec 29, 2010
1,603
486
MAHAKAMA KUU ya Tanzania Kanda ya Tabora imemuhukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa Juma Mayala (23) kwa kosa la kumuua baba yake mzazi



Hukumu hiyo ilitolewa jana na Jaji Simon Lukelewa huku upande wa Mashitaka uliongozwa na Wakili wa Serikali, Magreth Ndaweka

Jaji Lukelewa alisema kuwa, alitoa adhabu hiyo kwa kuwa mshitakiwa alipatikana na hatia ya kuumua baba yeke mzazi na nkuridhishwa na ushahidi wa hali ya juu kuhusiana nna hilo

Ilidaiwa Mei 5, 2004 mshitakiwa alimuua baba yake Mayala Ngamba kwa kumkata kwa shoka mara tatu kichwani hali iliyopelekea kifo chake papo hapo.

Ilidaiwa mahakamani hapo kuwa,mara baada ya kufanya mauaji hayo mshitakiwa aliufukia mwili huo katika choo kisichotumika na kisha kufunika kwa mawe juu ambapo mwili huo uligundulika baada ya siku tatu.

Awali imedaiwa kuwa mshitakiwa alifanya mauaji hayo kutokana na kuchukizwa na hali ya kunyimwa chakula na mzazi wake huyo mara kadhaa hali iliyofanya ajichukulie maamuzi mikononi kinyume na sheria

Mayala mkazi wa kijiji cha Maskati, Wilaya ya Shinyanga

Source: Nifahamishe

Mytake:
Kama kosa alilifanya mwaka 2004, mtuhumiwa alikuwa na miaka 15, je hii kesi ilisikilizwa mahakama ya watoto?


Hawa watu wa Haki za watoto kesi hii waliisikia? au huwa wanasikia tu kesi za watoto ambao ni Ma-star?

 
Ama hakika kisasi ni haki, anaeua na yeye auliwe, so ni haki yake kuuliwa , HAKUNA MJADALA! akiwa na miaka 15 kwani alikuwa hana akili timam? muuwaji ni muuwaji na khasa anapokuwa na akili timam na yeye lazima auliwe ! full stop!
 
Hii kesi inaleta picha gani kwa wazazi wa Lulu kung'angania kuwa lulu ni serengeti boy?
 
Nasubiri jaji wa kesi ya Lulu atumie kesi hii kama reference kwenye kutoa hukumu......:smash::smash:
 
MAHAKAMA KUU ya Tanzania Kanda ya Tabora imemuhukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa Juma Mayala (23) kwa kosa la kumuua baba yake mzazi



Hukumu hiyo ilitolewa jana na Jaji Simon Lukelewa huku upande wa Mashitaka uliongozwa na Wakili wa Serikali, Magreth Ndaweka

Jaji Lukelewa alisema kuwa, alitoa adhabu hiyo kwa kuwa mshitakiwa alipatikana na hatia ya kuumua baba yeke mzazi na nkuridhishwa na ushahidi wa hali ya juu kuhusiana nna hilo

Ilidaiwa Mei 5, 2004 mshitakiwa alimuua baba yake Mayala Ngamba kwa kumkata kwa shoka mara tatu kichwani hali iliyopelekea kifo chake papo hapo.

Ilidaiwa mahakamani hapo kuwa,mara baada ya kufanya mauaji hayo mshitakiwa aliufukia mwili huo katika choo kisichotumika na kisha kufunika kwa mawe juu ambapo mwili huo uligundulika baada ya siku tatu.

Awali imedaiwa kuwa mshitakiwa alifanya mauaji hayo kutokana na kuchukizwa na hali ya kunyimwa chakula na mzazi wake huyo mara kadhaa hali iliyofanya ajichukulie maamuzi mikononi kinyume na sheria

Mayala mkazi wa kijiji cha Maskati, Wilaya ya Shinyanga

Source: Nifahamishe

Mytake:
Kama kosa alilifanya mwaka 2004, mtuhumiwa alikuwa na miaka 15, je hii kesi ilisikilizwa mahakama ya watoto?


Hawa watu wa Haki za watoto kesi hii waliisikia? au huwa wanasikia tu kesi za watoto ambao ni Ma-star?


Miaka kumi na tano anaruhusiwa kuua?? utoto unaishia miaka mingapi?
 
Huyu kijana alikosa busara, kwa umri wa miaka 15 aliwezaje kupata ujasili wa kumwua babaye na kumfukia kwenye shimo la choo jamani ? kweli hastahili msamaha katika hili nadhan shelia imechukua mkondo wake hapa
 
navyojua mimi mwanaume anapata akili akiwa amesha balehe.naamini huyo unaye mwita mtoto alibalehe kabla hata ya kumua babake.

na mtu anaye balehe ni mtu mzima.

kuto fikisha miaka kumi na nane isiwe ndo sababu.
 
mtoto wa kiume akiwa na miaka 10 akili yake ipo poa na anajua baya na zuri na anajua kosa la kuua ..

my take asinge hukumiwa kunyongwa ila kifungo cha maisha
 
Mleta hoja ana issue ya msingi hapa ya kujadili. Wengi naona wanatoa maoni yao kutokana na hasira ya kilichofanyika.
Ni kweli kuwa kijana alifanya kosa kubwa sana kumuua baba yake.

Lakini JE? suala la umri wake wa utoto wa miaka 15 lilizingatiwa wakati wa mwenendo wa kesi hadi hukumu? Jaji alizingatia umri wa mtenda kosa wakati kosa linafanyika au amezingatia umri wakati wa hukumu?

Wanasheria watoe msaada hapa!!
 
navyojua mimi mwanaume anapata akili akiwa amesha balehe.naamini huyo unaye mwita mtoto alibalehe kabla hata ya kumua babake.

na mtu anaye balehe ni mtu mzima.

kuto fikisha miaka kumi na nane isiwe ndo sababu.

Hiki siyo kigezo cha utoto na utu uzima. Vinginevyo zinazoitwa mimba za utotoni zisingekuwepo.
 
navyojua mimi mwanaume anapata akili akiwa amesha balehe.naamini huyo unaye mwita mtoto alibalehe kabla hata ya kumua babake.

na mtu anaye balehe ni mtu mzima.

kuto fikisha miaka kumi na nane isiwe ndo sababu.

Sheria inasemaje?
 
Mleta hoja ana issue ya msingi hapa ya kujadili. Wengi naona wanatoa maoni yao kutokana na hasira ya kilichofanyika.
Ni kweli kuwa kijana alifanya kosa kubwa sana kumuua baba yake.

Lakini JE? suala la umri wake wa utoto wa miaka 15 lilizingatiwa wakati wa mwenendo wa kesi hadi hukumu? Jaji alizingatia umri wa mtenda kosa wakati kosa linafanyika au amezingatia umri wakati wa hukumu?

Wanasheria watoe msaada hapa!!

Tatizo watu wanaanzisha thread kutaka kujadili mambo ya kisheria badala ya kuweka thread kwenye forum ya sheria wanaweka huku halafu wanaomba msaada wa kisheria. Pelekeni forum ya sheria kama mnataka msaada wa kisheria.

Sheria inasemaje?

Waulize wanasheria kwenye forum ya sheria.
 
Miaka kumi na tano anaruhusiwa kuua?? utoto unaishia miaka mingapi?
Waberoya Kuna kesi zipo mahakamani...na watetezi wa kesi wanataka Favor kisa mtuhumiwa eti ni mtoto...siwezi kujibu swali lako kwamba utoto unaishia miaka mingapi!! labda unisaidie....
 
Last edited by a moderator:
Tatizo watu wanaanzisha thread kutaka kujadili mambo ya kisheria badala ya kuweka thread kwenye forum ya sheria wanaweka huku halafu wanaomba msaada wa kisheria. Pelekeni forum ya sheria kama mnataka msaada wa kisheria. Waulize wanasheria kwenye forum ya sheria.
EMT hata hapo umechangia pia!!
 
Last edited by a moderator:
MAHAKAMA KUU ya Tanzania Kanda ya Tabora imemuhukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa Juma Mayala (23) kwa kosa la kumuua baba yake mzazi



Hukumu hiyo ilitolewa jana na Jaji Simon Lukelewa huku upande wa Mashitaka uliongozwa na Wakili wa Serikali, Magreth Ndaweka

Jaji Lukelewa alisema kuwa, alitoa adhabu hiyo kwa kuwa mshitakiwa alipatikana na hatia ya kuumua baba yeke mzazi na nkuridhishwa na ushahidi wa hali ya juu kuhusiana nna hilo

Ilidaiwa Mei 5, 2004 mshitakiwa alimuua baba yake Mayala Ngamba kwa kumkata kwa shoka mara tatu kichwani hali iliyopelekea kifo chake papo hapo.

Ilidaiwa mahakamani hapo kuwa,mara baada ya kufanya mauaji hayo mshitakiwa aliufukia mwili huo katika choo kisichotumika na kisha kufunika kwa mawe juu ambapo mwili huo uligundulika baada ya siku tatu.

Awali imedaiwa kuwa mshitakiwa alifanya mauaji hayo kutokana na kuchukizwa na hali ya kunyimwa chakula na mzazi wake huyo mara kadhaa hali iliyofanya ajichukulie maamuzi mikononi kinyume na sheria

Mayala mkazi wa kijiji cha Maskati, Wilaya ya Shinyanga

Source: Nifahamishe

Mytake:
Kama kosa alilifanya mwaka 2004, mtuhumiwa alikuwa na miaka 15, je hii kesi ilisikilizwa mahakama ya watoto?


Hawa watu wa Haki za watoto kesi hii waliisikia? au huwa wanasikia tu kesi za watoto ambao ni Ma-star?

Haya ndo yanayomsubiri LULU wanasubiri atakapofikisha miaka 18+ ndio watamuhukumu
 
Back
Top Bottom