Mtoa Habari za kuaminika JF

Mtoa Habari za kuaminika JF

Kweli wengi humu wageni mtafteni mtu anaitwa noob au Informer achilia wengine kibao
 
Last edited by a moderator:
mshanajr....jamaa yuko vizuri upstairs.
 
Last edited by a moderator:
List ya waongo humu JF na wazushi inaongozwa na Yeriko Nyerere, ndiye kiongozi mkuu wa kikosi cha UONGO, UZUSHI NA UPISHI WA MAJUNGU.

Msema kweli kidogo ninayemuamini mimi humu ndani ni Pasco mwanadada mahiri FaizaFoxy na pia Mzizi Mkavu kwa kuwa ni mchawi lakini pia taarifa zake nyingi zina evidence, kwa mfano hadi picha za majini wote na wanakoishi yeye anajua, hahahah walikuwepo hapo zamani kina Nyani Ngabu japo sasa hawajulikani wako wapi...

Kuna jamaa umempa sifa za kijinga humu Faiza foxy.
 
Faiza Foxy umempa sifa za kubumba au kwa kuwa ni mwenzio kiitikadi? Huyu faiza ni muongo na mzushi kweli kweli. Angefaa sana kuwa mganga wa kienyeji.
 
Faiza Foxy umempa sifa za kubumba au kwa kuwa ni mwenzio kiitikadi? Huyu faiza ni muongo na mzushi kweli kweli. Angefaa sana kuwa mganga wa kienyeji.

heeheh umeniongezea siku moja ya kuishi maana nimecheka mpaka mchozi wantiririka
 
Back
Top Bottom