List ya waongo humu JF na wazushi inaongozwa na Yeriko Nyerere, ndiye kiongozi mkuu wa kikosi cha UONGO, UZUSHI NA UPISHI WA MAJUNGU.
Msema kweli kidogo ninayemuamini mimi humu ndani ni Pasco mwanadada mahiri FaizaFoxy na pia Mzizi Mkavu kwa kuwa ni mchawi lakini pia taarifa zake nyingi zina evidence, kwa mfano hadi picha za majini wote na wanakoishi yeye anajua, hahahah walikuwepo hapo zamani kina Nyani Ngabu japo sasa hawajulikani wako wapi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.