Mtimanyongo wa ITV kwa chama cha CUF.

Mtimanyongo wa ITV kwa chama cha CUF.

1 VIONGOZI KUMBE NAO HAWATAKIWI KUONEKANA MKUU?
2MNAHISI WANAFANYA KWA FAIDA YA CHAMA GANI MAANA CHAMA TAWALA NDIO MASWAHIBA WENU(na ndio wenye amri na huwa hampishani katika kauli mkuu)
3KWANI MAISHA YA CUF YANATEGEMEA RIPOTI ZA MIKUTANO MKUU?
4 UMENENA VYEMA SANA KWA KUTAMBUA KUWA CUF IKO MIOYONI MWA WANACUF NA SI WANANCHI
halafu si muongee vizuri na serikali TBC iwape gepu mbona ndio washirika wenu.
 
Umeingia special kwa ajili ya ukabila sio? mwambie raza awape coverage basi.
 
TV hii imekuwa ni kawaida yake katika kuonesha na kuripoti habari za chama cha wanainchi CUF imekuwa ni kawaida kutoa picha ambazo lengo lake ni kuwakatisha tamaa wafuasi na wanachama wa CUF Kwa kupiga picha za pembeni kabisa ya mkutano sehemu yenye umati wa watu huwa hawapeleki Camera, imefanyika hivyo mkutano wa CUF wa Arusha na baadaye TV hiyo ikaja kuumbuliwa na Mlimani TV kwa kuonesha umati uliofurika uwanjani na kufuatiwa na magazeti, mf. mzuri gazeti la Fahamu mwanainchi. Leo tena wamerudia yale yale kwa kupeleka Camera sehemu ya viongozi, tunashindwa kutambua vitendo hivyo wanavyokifanyia chama cha CUF ni kwa faida ya nani? au kwa faida ya chama gani? kama mnaona hamtaki kuonesha habari za cuf kwa ufasaha kwa nini mnapata tabu kwenda kwenye mikutano yao tafuteni habari zingine. CUF ipo ndani ya mioyo ya wana CUF hamtaweza kuiua au kuidhofisha mtakufa nyie CUF itabaki.

hapoo mwishoni naona unanukuu maneno ya mumeo,
 
Sasa hata we nawe huoni anahutubia huku kakaa kwenye ground floor?
 
Mkuu hiyo habari ya CUF kwani haikutangazwa na Radio Iman? Pia kama picha basi ilipaswa zioneshwe na gazeti Al-nuur au gazeti Al-huda.
 
Ndio maana CNN wanasema WATZ tunapenda ushirikiana, huu nao ni ushirikina mwingine kwani ilikuwa rahisi kwa mleta mada kama angetuwekea picha ili tuweze kuwalaumu ITV kama anavyotaka lakini yeye kaamua kuja na maneno tu......yakhe vp wewe! nenda na wakati huoni wenzako wa Arusha wanavyotumwagia mapicha ya mikutano ya CDM?
Acha kulalama next time photoa mapicha weka hapa tuone mchakamchaka wenu unaelekea wapi 2015 au unaelekea kuuvunja Muungano na siku hizi ni rahisi hata mchina anatoa picha nzuri tu.....kazi kwako.
 
kwanza CUF chimbuko lake si Oman Na Uajemi? Sasa kwann wanataka Tv za Tz ndo ziwarushe?
 
kama mnaona hamtaki kuonesha habari za cuf kwa ufasaha kwa nini mnapata tabu kwenda kwenye mikutano yao tafuteni habari zingine....[/QUOTE]

Hapo kwenye nyekundu, hivi na wewe mkuu kama unaona ITV hawaonyeshi habari za CUF kwa ufasaha kwa nini unapata tabu kuiangalia na mwishowe unaleta malalamiko hapa JF? Kuna vituo vingine vingi vya runinga unavyoweza kuangalia.
 
cuf ngangariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii??????????????????????????????????
 
Mkuu hiyo habari ya CUF kwani haikutangazwa na Radio Iman? Pia kama picha basi ilipaswa zioneshwe na gazeti Al-nuur au gazeti Al-huda.

gazeti la msema kweli na washirika wake nao hawako nyuma kuripoti za chadema ndio mana chadema inakubalika maeneo yenye makanisa mengi
 
Mkuu umesahau mwaka 2010 Kanisani ndio ilikuwa uwanja wakampeni za CHADEMA, umesahau Kilaini ndiye aliyekuja na Idea ya chaguo la Mungu. Umesahau kuwa Kadinali Pengo ndo alibariki maandamano ya CHADEMA Arusha. Au kwa kuwa walikuwa wanamuunga mkono Padri mwenzao ndio maana CHADEMA sio wadini?
 
Jamani ITV kwanini mnawaumbua wenzenu? Lakini CUF si ipo serikalini kwanini TBCCCM haijaonyesha mkutano wa washirika wao?
kweli TBC WALIFANYA MAKOSA KUTOONYESHA
 
TV hii imekuwa ni kawaida yake katika kuonesha na kuripoti habari za chama cha wanainchi CUF imekuwa ni kawaida kutoa picha ambazo lengo lake ni kuwakatisha tamaa wafuasi na wanachama wa CUF Kwa kupiga picha za pembeni kabisa ya mkutano sehemu yenye umati wa watu huwa hawapeleki Camera, imefanyika hivyo mkutano wa CUF wa Arusha na baadaye TV hiyo ikaja kuumbuliwa na Mlimani TV kwa kuonesha umati uliofurika uwanjani na kufuatiwa na magazeti, mf. mzuri gazeti la Fahamu mwanainchi. Leo tena wamerudia yale yale kwa kupeleka Camera sehemu ya viongozi, tunashindwa kutambua vitendo hivyo wanavyokifanyia chama cha CUF ni kwa faida ya nani? au kwa faida ya chama gani? kama mnaona hamtaki kuonesha habari za cuf kwa ufasaha kwa nini mnapata tabu kwenda kwenye mikutano yao tafuteni habari zingine. CUF ipo ndani ya mioyo ya wana CUF hamtaweza kuiua au kuidhofisha mtakufa nyie CUF itabaki.

Jina halitofautiana na ulichokiandika.
 
Itv mmiliki wake ni mchaga na mkatoliki, chadema ni cha wachaga na wakatoliki.hapo cuf haiwezi kuripotiwa vizuri hata siku moja.Wamekuwa wakifanya kwa muda mrefu sana na ni maagizo ya bwana 'mapua'.Atakayekwenda kinyume anafukuzwa kazi.Muulize sakina datuu nini kilimuondosha Nipashe.ITV + CDM= UKATOLIKI.
 
Itv mmiliki wake ni mchaga na mkatoliki, chadema ni cha wachaga na wakatoliki.hapo cuf haiwezi kuripotiwa vizuri hata siku moja.Wamekuwa wakifanya kwa muda mrefu sana na ni maagizo ya bwana 'mapua'.Atakayekwenda kinyume anafukuzwa kazi.Muulize sakina datuu nini kilimuondosha Nipashe.ITV + CDM= UKATOLIKI.

c bora niongozwe na mkatoliki kuliko muislamu, ona mambo yanavyokwenda ovyo chini ya rais muislamu
 
Back
Top Bottom