Mtimanyongo wa ITV kwa chama cha CUF.

TV hii imekuwa ni kawaida yake katika kuonesha na kuripoti habari za chama cha wanainchi CUF imekuwa ni kawaida kutoa picha ambazo lengo lake ni kuwakatisha tamaa wafuasi na wanachama wa CUF Kwa kupiga picha za pembeni kabisa ya mkutano sehemu yenye umati wa watu huwa hawapeleki Camera, imefanyika hivyo mkutano wa CUF wa Arusha na baadaye TV hiyo ikaja kuumbuliwa na Mlimani TV kwa kuonesha umati uliofurika uwanjani na kufuatiwa na magazeti, mf. mzuri gazeti la Fahamu mwanainchi. Leo tena wamerudia yale yale kwa kupeleka Camera sehemu ya viongozi, tunashindwa kutambua vitendo hivyo wanavyokifanyia chama cha CUF ni kwa faida ya nani? au kwa faida ya chama gani? kama mnaona hamtaki kuonesha habari za cuf kwa ufasaha kwa nini mnapata tabu kwenda kwenye mikutano yao tafuteni habari zingine. CUF ipo ndani ya mioyo ya wana CUF hamtaweza kuiua au kuidhofisha mtakufa nyie CUF itabaki.

Propagandist, Mimi nafikiri njia nzuri ya kuwaumbua hawa ITV ni wewe kupost hizo picha zinazoonesha umati huo. Itakuwa kushnehii!
 
Tangu CUF wasaliti wazanzibar na 'kuolewa' na CCM wanahabari, wapinzani na watanzania kwa jumla walikidharau na kukipuuza CUF.
 
ITV wako right!

ndugu zanguni kwa style hii hatutofika. Tujadili mambo si kwa kuzongwa na aina ya hisia tunazozionyesha. Badala ya kuungana na kupambana na mdudu ccm lakini hali ni tofauti tz politicians ni walaghai wakubwa si wa ccm hata wa upinzani wanaonyesha kuwa na element za uroho wa madaraka, mgawanyiko n.k sioni future ya tz tunayoitaka sidhani kama tutafika. Never!
 
Lete ushahidi wa kugawa vipeperushi na kama ni kweli chadema nao hufanya mchezo huo nipigwe Ban ya siku mbili lakini ushahidi wa CUF kugawa mimi mwenyewe nirishuhudia msikiti wa bondeni na nilianzisha thread ya uozo huo....Mkuu mimi huingia Msikitini na kanisani najua CUF inavyo utumia uislamu kujipandisha chati...
Mi nashangaa unadai ushahidi wakati wewe umebaki kusema umeshuhudia, sasa tufanye hivi lete huo ushahidi kwanza ili tuone kweli siyo propaganda, kwa sababu hata mimi huwa nasali kanisani najua kampeni zinazopigwa kuhusu CDM
 
ITV wanajitahidi sana kuwa neutral na kufuata misingi ya taaluma ya habari! Mlitaka mbebwe hata msipostahili? Mkitaka hivyo waambieni wenza wenu wasaidie kuwabeba kwenye TV yeni tbccm!
 
Wewe c ulikuwepo kwenye mikutano? tupia hizo picha na co kuiponda ITV, Arusha tulishuhudia mlivoshindwa kuujaza uwanja wa netball pamoja na juhud za kubeba watu na kutoa vipeperushi misikitin, SAFARI HII HAKO KA CHAMA MNAKAMALIZIA!!!
 
Nijuavyo itv wana utalaam mdogo sana kwenye kupika matukio. Hakika mleta mada yupo sawa ila amekosea heading kusomeka itv badala tbc
 
Back
Top Bottom