kalukamise
JF-Expert Member
- May 4, 2011
- 683
- 191
MTIHANI WA MAARIFA YA DUNIA:
Instructions:- Muda: 10 Seconds.
- Majibu mpe mwenzako.
JIBU MASWALI YOTE
1. Kama hela haioti kwenye miti,kwanini bank zina matawi?
2. Kwanini gundi haigandi kwenye chupa yake?
3. Kama tunatakiwa tusi-drive wakati tumekunywa,kwanini bar kuna parking?
4. Kama neno abbreviation linamaanisha ufupisho,kwanini lenyewe ni refu hivyo?
5. Kama tunatakiwa kufanya sex ndani ya ndoa 2,kwanini tunabalehe kabla ya kufunga ndoa?
Best wishes.
Instructions:- Muda: 10 Seconds.
- Majibu mpe mwenzako.
JIBU MASWALI YOTE
1. Kama hela haioti kwenye miti,kwanini bank zina matawi?
2. Kwanini gundi haigandi kwenye chupa yake?
3. Kama tunatakiwa tusi-drive wakati tumekunywa,kwanini bar kuna parking?
4. Kama neno abbreviation linamaanisha ufupisho,kwanini lenyewe ni refu hivyo?
5. Kama tunatakiwa kufanya sex ndani ya ndoa 2,kwanini tunabalehe kabla ya kufunga ndoa?
Best wishes.