Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Naibu waziri wa elimu Philipo Mulugo ametangaza kuwa serikali imerudisha mtihani wa kidato cha pili kwa lengo la kuboresha kiwango cha ubora wa elimu ya Tanzania.amesema kuwa mwanafunzi ambaye hatafaulu mtihani huo wa kidato cha pili hataruhusiwa kufanya mtihani wa kidato cha Nne.
Source.Tbc habari saa 10 alasiri
Source.Tbc habari saa 10 alasiri