Mtihani kwa Msaka Uraisi- Pinda!

Mtihani kwa Msaka Uraisi- Pinda!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,837
Haya Wenye mabasi wameigomea serikali, Waziri mkuu ambaye ndiyo Kiongozi Mkuu wa Serikali na ambaye pia ametangaza rasmi kugombea Uraisi yupo na amekaa kimya, sasa kama anashindwa kutatua mgogogro mdogo kama huu ni kipi hata kinamsukuma kutaka kuwa Raisi wa JMT?
Kesho Wakenya wakisema Serengeti ni yao kwa kuwa Masai Mara muendelezo wa Serengeti atafanya nini kama Raisi?

Kwangu mimi hiki ndio kipimo cha Pinda na tayari tulipaswa huyu jamaa tumtoea na kumsahau kabisa ktk Uraisi!
 
pinda hana maamuz kabisa, eti leo tumpe nchi? asahau kabsa hawez kuongoza nchi
 
Back
Top Bottom