Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
"Mbunge wetu (Mwita Waitara-Ukonga) hatoshi, japo yupo CCM na ana wadhifa mkubwa. Nilikutana naye Dodoma nikamuuliza kuhusu barabara, alichofanya alininunulia bia halafu akaniambia, we kunywa bia, mambo ya barabara yatakusaidia nini."- Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya Mkoa wa Dar es Salaam.
-
Mbunge wa Ukonga, Mwita Waitara, amedai wananchi waliomlalamikia RC wa DSM Paul Makonda, kuwa ametelekeza jimbo lake, na kumtaka Makonda kugombea Ubunge jimbo hilo, amekiita ni hujuma na kilipangwa. Amesema Makonda angemshirikisha wakati anafanya ziara jimboni kwake.
-
Mbunge wa Ukonga, Mwita Waitara, amedai wananchi waliomlalamikia RC wa DSM Paul Makonda, kuwa ametelekeza jimbo lake, na kumtaka Makonda kugombea Ubunge jimbo hilo, amekiita ni hujuma na kilipangwa. Amesema Makonda angemshirikisha wakati anafanya ziara jimboni kwake.