Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,788
- 11,185
Okay.Haipo hivyo, ukiwa kwenye ndoa haimaanishi hutamani nje, Ni vile tu unajizuia kwasababu Ni mke wa mtu..ukijeruhiwa ni rahisi kuangukia huko. Na pia haitakuwa kwa kushurutishwa bali kwa kuamua mwenyewe .
Ukishajeruhi moyo wa mtu hata sex haitakuwa kivile Tena. So km unachepuka fanya tu kwa kushindwa kuzuia tamaa zako lkn useme unamkomoa mke utaishia kujikomoa mwenyewe.
Labda Kama umeamua muishi hivyo