AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,649
- 4,756
Wanazuoni wanasema hivi, HAKUNA WA KUMTIA ADABU MWANAMKE ISIPOKUWA MWANAMKE MWENZIE...
Mwanaume usihangaike kupambana na mwanamke wako...huyo humuwezi na hutomuweza...huyo dawa ni mwanamke mwenzie tu...
Nakaribisha maswali maoni na mapingamizi...
Mwanaume usihangaike kupambana na mwanamke wako...huyo humuwezi na hutomuweza...huyo dawa ni mwanamke mwenzie tu...
Nakaribisha maswali maoni na mapingamizi...