Mtie adabu mwanamke kwa mwanamke mwenzie

Mtie adabu mwanamke kwa mwanamke mwenzie

Hapana, Mimi namuheshimu anayeniheshimu..kuchukua mwanamke mwingine ili heshima irudi haitatokea. Heshima itashuka mpk atajuta yeye
Kwanza akichukua mwingine Mimi namuacha kabisaaaa mambo yasiwe mengi
 
Hasara kivipi yaani?
Hasara hapo kwenye kutumika bila kuoenda.Maana ukivuta njemba mpya maana yake umefanya hivyo si kwa kuoenda bali kwakua mumeo kakukosea heshima ya kuvuta mchepuko.So utakua unanfanya kama ku back fire so unatoa penz si kwa kutaka japo umeridhia kufanya hivyo.

Halaf kwakua hujamuacha man wako then suala la kumpa vyake mkiwa ndani kama wanandoa litaendelea tu lazima ingawa utampa basi tu kwakua ni mumeo lakin ashakutoka rohon ila kugongwa utagongwa.

Sasa huon kama utakuwa umetwisha mizigo miwil hii na kujigeuza kengele ya st.kayumba unagongwa kila breaktime.Ndani na nje
 
Hasara hapo kwenye kutumika bila kuoenda.Maana ukivuta njemba mpya maana yake umefanya hivyo si kwa kuoenda bali kwakua mumeo kakukosea heshima ya kuvuta mchepuko.So utakua unanfanya kama ku back fire so unatoa penz si kwa kutaka japo umeridhia kufanya hivyo.

Halaf kwakua hujamuacha man wako then suala la kumpa vyake mkiwa ndani kama wanandoa litaendelea tu lazima ingawa utampa basi tu kwakua ni mumeo lakin ashakutoka rohon ila kugongwa utagongwa.

Sasa huon kama utakuwa umetwisha mizigo miwil hii na kujigeuza kengele ya st.kayumba unagongwa kila breaktime.Ndani na nje
Haipo hivyo, ukiwa kwenye ndoa haimaanishi hutamani nje, Ni vile tu unajizuia kwasababu Ni mke wa mtu..ukijeruhiwa ni rahisi kuangukia huko. Na pia haitakuwa kwa kushurutishwa bali kwa kuamua mwenyewe .
Ukishajeruhi moyo wa mtu hata sex haitakuwa kivile Tena. So km unachepuka fanya tu kwa kushindwa kuzuia tamaa zako lkn useme unamkomoa mke utaishia kujikomoa mwenyewe.
Labda Kama umeamua muishi hivyo
 
Back
Top Bottom