Suala kwamba nimesoma ama sijasoma halihusiani na mada tajwa. Toa hoja, kama huna bora ukae kimya kuliko kuanza kuporomosha matusi.
Basi kweli hujui unachokifikiria pamoja unachokiandika! Reference: Angalia threads zinazotolewa humu hii ni pamoja na yako: What is your intention and what do you want to achieve with this kind of unjustifiable arguments! Pls try to think before to pass such kind of commenst to JF!