Mtei - Mbowe - BoT; Connecting the dots...

Mkuu Tuko,

Usishtuke sana. Ndio wanasiasa wetu walivyo. Maneno mengi majukwaani, kumbe nyuma ya pazia wana agenda za siri...

Sikushtuka... ila niliona niendeleze tu bla bla kama zako. Ningeshtuka kama ungeweka figures mzee. Unajua unapoongelea hela inabidi utaje figures ku make sense. Kwa mfano tukiongelea mabilioni ya uswis haileti maana hadi tuseme bilioni 334 huko uswis. Hebu weka figures za mabilioni ya Mbowe figures za kodi, nk tuone...
 
Naomba kwanza unijibu maswali yangu ya msingi nitauliza moja moja.
Mosi,unaweza kunipa japo kwa aya mbili namna unavyomfahamu Baba yake Mbowe mzee Aikaeli,hususani biashara zake kwa wakati huo?

Umeanza hadithi za vijiweni za "mabilionea" wa Arusha...
 
Umeanza hadithi za vijiweni za "mabilionea" wa Arusha...

Ha ha mkuu Marco,stori za vijiweni zinatoka wapi? Tunataka tukusaidie kuelewa connection ya utajiri wa Mbowe huyu mtoto wa Aikael.
Tuambie unamjua vipi hata kwa kuambiwa tuu.
 

Connect the dots...

Mtei alipoulizwa kuhusu tenda ya magari ya M4C alijibu hivi:

niliachia ngazi Chadema 1998 na tangia hapo sishiriki ktk mambo ya uendeshaji wa Chama ambapo ningeweza kukujibu juu ya zabuni iliyohusu magari ya M4C.

Je wewe unaamini kuwa Mtei hajui kuhusu taratibu za kununua magari ya Chadema.

Pitia hapa kwa kumbukumbu...
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...m4c-na-pikipiki-kufisadi-ruzuku-ya-chama.html
 
Umesema "hesabu za kodi za biashara ua Mbowe haziendani mapato yake kwa miaka kumi iliyopita".
Mwaka 2005 Mbowe aligombea uraisi,kwanini kigezo cha kutokulipa kodi hakikutumika kumuengua kwa mujibu wa katiba? Marco wewe ni mzima mkuu tena unakisomo.
 
Niwajuavyo CCM walivo na wivu kwa wafanya biashara wasio wanachama wao wangeshamtumia TRA kumfilisi lakini hilo limewashinda kwa vile MBOWE nimfanyabiashara halali sikama hao wengine LAKAIRO ET AL! wakwepa kodi sasa we polo unavosema anakwepa kodi nani alaumiwe? ilaumu serikali yako dhaifu basi!
 
Ha ha mkuu Marco,stori za vijiweni zinatoka wapi? Tunataka tukusaidie kuelewa connection ya utajiri wa Mbowe huyu mtoto wa Aikael.
Tuambie unamjua vipi hata kwa kuambiwa tuu.

Utajiri halali unaonekana kwenye kiasi cha kodi anacholipa mtu na idadi ya watu aliowaajiri.

Mbowe ameajiri watu wangapi? Mention 5 degree holders walioajiriwa na Mbowe.

Usilete story za vijiweni za "ubilionea" wa Arusha.
 

Hata wale wanaotumia pesa za ada za watoto wao kunywa pombe hawako mstari wa nyuma kuilaumu serikali kwa kile walichofanya...
 
Umesema "hesabu za kodi za biashara ua Mbowe haziendani mapato yake kwa miaka kumi iliyopita".
Mwaka 2005 Mbowe aligombea uraisi,kwanini kigezo cha kutokulipa kodi hakikutumika kumuengua kwa mujibu wa katiba? Marco wewe ni mzima mkuu tena unakisomo.

Kwanini shutuma za ufisadi hazikutumika kuwaengua Chenge na Rostam kwenye kugombea Ubunge?
 
Wakishindwa kuhalamisha pesa ya Mbowe,watahamia kwa Ndesamburo,napo watagonga mwamba. Wanaume wana pesa safi hawa.
 
Utajiri halali unaonekana kwenye kiasi cha kodi anacholipa mtu na idadi ya watu aliowaajiri.

Mbowe ameajiri watu wangapi? Mention 5 degree holders walioajiriwa na Mbowe.

Usilete story za vijiweni za "ubilionea" wa Arusha.
mbowe analipa kodi kiasi gani? Na ana mali kiasi gani? Acha blah blah mkuu!
 
Kwanini shutuma za ufisadi hazikutumika kuwaengua Chenge na Rostam kwenye kugombea Ubunge?
tuanze kukuuliza wewe wa lumumba mkuu, pia tuulize hiyo serikali yako ya ccm, kwa nini iliwaacha hawa mafisadi kuendelea kugombea uongozi tena kwa kupeperusha bendera ya chama chao?
 
Kwanini shutuma za ufisadi hazikutumika kuwaengua Chenge na Rostam kwenye kugombea Ubunge?
Shutuma? Kwa chama kipi, endapo mtumishi wa Mungu alisema shutuma tu zingeweza kumtoa mtu kazini, ni nani mwenye unyoofu wa Mwinyi na mrema ambao walukubali kujiuzulu nyadhifa zao? Post za kitoto ndizo zitaua kabisa usalama wetu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…