Mtei - Mbowe - BoT; Connecting the dots...

Mtei - Mbowe - BoT; Connecting the dots...

usihangaike ndugu kushauri watu humu, siku hizi ushabiki wa kisiasa ni kama simba na yanga au dini. hakuna atayekisikia wala kukuelewa ni wachache wanaochambua mwelekeo wa vyama vyao ila asilimia kubwa kuna misukule ya vyama, IPO misukule ya CCM, CHADEMA, CUF n.k ingawa hakuna hata mmoja anayejijua ye ni msukule kwa upande wake hakuna nyani wa chama kimoja anayetazama kundule ila la mwenzake na kumcheka
 
Tangu lini wewe umekuwa Mwana CHADEMA?

Mkuu hii mbinu yenu ya Ma CCM itashindwa soon.....ni balehe tu zinawasumbua
 
Salaam JF ! Ni muda mrefu sana ndani ya chama chetu pendwa(CHADEMA)Kimekuwa kikipata kashfa nyingi sana ambazo kiukweli sisi kama wanachama tumejitahidi sana kukisafisha na kuonesha yako shwari tu hususani hapa JF iwe kwa matusi amma vyovyote vile.Binafsi nimekaa LEO nikajiuliza hivi ni kweli CHADEMA ni chama amma ni KITEGA UCHUMI cha watu FULANI."Yafuatayo ni mambo yanayonitatiza na kama kuna mtu ajuaye anitoe WASIWASI "!! 1.Mzee Edwin Mtei na Bob Makani baada ya kuondoka BOT walianzisha CHADEMA(Bob Makani alimuoa dada yake MTEI.Pia ndiye aliyekuwa M/KITI wa chama baada ya MTEI.2.Bob Makani alimuachia uenyekiti MBOWE.Mbowe kamuoa Mtoto wa MTEI. 3.Manunuzi yoyote ya Chama anafanya MBOWE akishirikiana na MTEI. 4.Fedha za msaada kwa chama zilijokua kutoka "Conservative" zilitumika kuanzisha Gazeti la Tanzania Daima-Leo hili ni Gazeti la MBOWE ! 5.Ruzuku,Misaada,michango ya wanachama na wadau(ROSTAM,SABODO na MKONO)Zinaishia makao makuu. 6.Viti maalumu wanagawana tu 7.Ofisi(Jengo La MTEI).WHY..?????
Sawa tumekusikia mtoto wa kigoma.ndio mahana watu wa kigoma wanafunza miguuni kwa kutojijari kimwili na macc yako



swissme
 
Hizo propaganda za kitoto sana na zilishafeli kitambo.
 
Wew mnafiki mkubwa post zako nyingi umejipambanua kuwa ni act sasa hivi unajiita mwanachadema embu acha unafiki wewe chadema tuachie tunaojitambua nyie mfuateni -------- wenu shida nin

😡
 
Vipi tena mwanachama mwenzangu Facilitator ?!Tusaidiane...

Tufanye kwamba yote uliyoandika hapo ni KWELI na wanachadema wanayajua. Jenga bas hoja yako sasa. Haitoshi tu kuuliza WHY? Onyesha uhusiano wa hizo hoja na performance, growth au downfall ya chadema kama taasis. Nakuskiliza
 
Last edited by a moderator:
Salaam JF ! Ni muda mrefu sana ndani ya chama chetu pendwa(CHADEMA)Kimekuwa kikipata kashfa nyingi sana ambazo kiukweli sisi kama wanachama tumejitahidi sana kukisafisha na kuonesha yako shwari tu hususani hapa JF iwe kwa matusi amma vyovyote vile.Binafsi nimekaa LEO nikajiuliza hivi ni kweli CHADEMA ni chama amma ni KITEGA UCHUMI cha watu FULANI."Yafuatayo ni mambo yanayonitatiza na kama kuna mtu ajuaye anitoe WASIWASI "!! 1.Mzee Edwin Mtei na Bob Makani baada ya kuondoka BOT walianzisha CHADEMA(Bob Makani alimuoa dada yake MTEI.Pia ndiye aliyekuwa M/KITI wa chama baada ya MTEI.2.Bob Makani alimuachia uenyekiti MBOWE.Mbowe kamuoa Mtoto wa MTEI. 3.Manunuzi yoyote ya Chama anafanya MBOWE akishirikiana na MTEI. 4.Fedha za msaada kwa chama zilijokua kutoka "Conservative" zilitumika kuanzisha Gazeti la Tanzania Daima-Leo hili ni Gazeti la MBOWE ! 5.Ruzuku,Misaada,michango ya wanachama na wadau(ROSTAM,SABODO na MKONO)Zinaishia makao makuu. 6.Viti maalumu wanagawana tu 7.Ofisi(Jengo La MTEI).WHY..?????

Watu wa aina yako mko mstari wa mbele kutaka mabadiliko ila wakati huo huo mkiwa wafitini na wanafiki wakubwa....huna lolote unatafuta tu kuona hisia za watu hapa!
 
Porojo hizi saa nyingine zinachosha , eti Jengo la Mtei Makao makuu ya Chadema ? nafikiri kuna haja ya Chadema kuweha hati ya umiliki wa jengolao na jinsi wanavyolipia kodi ya jengo.

Kuna watu watakufa shinikizo la damu kwani waliyokuwawakielezwa na wasaliti sio ambayo leo wanayaona yakijitokeza kiuhalisia huko mitaani.

Tatizo la kukarilishwa linawagharimu sana hawa vibaraka wa wasaliti.Baada ya October ccm na mchepuko wake watataabika sana kwani mfumo fisadi utang' olewa mizizi.
 
Porojo hizi saa nyingine zinachosha , eti Jengo la Mtei Makao makuu ya Chadema ? nafikiri kuna haja ya Chadema kuweha hati ya umiliki wa jengolao na jinsi wanavyolipia kodi ya jengo.

Kuna watu watakufa shinikizo la damu kwani waliyokuwawakielezwa na wasaliti sio ambayo leo wanayaona yakijitokeza kiuhalisia huko mitaani.

Haina haja yoyote

Hii mijitu ndivyo ilivyo
 
Salaam JF ! Ni muda mrefu sana ndani ya chama chetu pendwa(CHADEMA)Kimekuwa kikipata kashfa nyingi sana ambazo kiukweli sisi kama wanachama tumejitahidi sana kukisafisha na kuonesha yako shwari tu hususani hapa JF iwe kwa matusi amma vyovyote vile.Binafsi nimekaa LEO nikajiuliza hivi ni kweli CHADEMA ni chama amma ni KITEGA UCHUMI cha watu FULANI."Yafuatayo ni mambo yanayonitatiza na kama kuna mtu ajuaye anitoe WASIWASI "!! 1.Mzee Edwin Mtei na Bob Makani baada ya kuondoka BOT walianzisha CHADEMA(Bob Makani alimuoa dada yake MTEI.Pia ndiye aliyekuwa M/KITI wa chama baada ya MTEI.2.Bob Makani alimuachia uenyekiti MBOWE.Mbowe kamuoa Mtoto wa MTEI. 3.Manunuzi yoyote ya Chama anafanya MBOWE akishirikiana na MTEI. 4.Fedha za msaada kwa chama zilijokua kutoka "Conservative" zilitumika kuanzisha Gazeti la Tanzania Daima-Leo hili ni Gazeti la MBOWE ! 5.Ruzuku,Misaada,michango ya wanachama na wadau(ROSTAM,SABODO na MKONO)Zinaishia makao makuu. 6.Viti maalumu wanagawana tu 7.Ofisi(Jengo La MTEI).WHY..?????
Mbinu fake hizo unazotumia, hata buku saba hupati.
 
Udikteta wa chadema umehamia hadi kwa wafuasi wake, yaani yeyote anaetoa mawazo kinzani, anaehoji anavuliwa uanachama hapo hapo. Badilikeni wadau Chad email haiongozwi na malaika nayo ina madudu yake. Utafikiri mmelogwa acheni siasa za unazi
 
Wew mnafiki mkubwa post zako nyingi umejipambanua kuwa ni act sasa hivi unajiita mwanachadema embu acha unafiki wewe chadema tuachie tunaojitambua nyie mfuateni -------- wenu shida nin

😡

Mkuu,

Ukitaka kuliandika hilo jina unapaswa uliandike Ayya.to.llah

Jina hilo tangie lihusishwe na Zitto naona limewekwa katika maneno yasiyotakiwa JF.

Nadhani moderators ni Team Zitto.
 
Salaam JF ! Ni muda mrefu sana ndani ya chama chetu pendwa(CHADEMA)Kimekuwa kikipata kashfa nyingi sana ambazo kiukweli sisi kama wanachama tumejitahidi sana kukisafisha na kuonesha yako shwari tu hususani hapa JF iwe kwa matusi amma vyovyote vile.Binafsi nimekaa LEO nikajiuliza hivi ni kweli CHADEMA ni chama amma ni KITEGA UCHUMI cha watu FULANI."Yafuatayo ni mambo yanayonitatiza na kama kuna mtu ajuaye anitoe WASIWASI "!! 1.Mzee Edwin Mtei na Bob Makani baada ya kuondoka BOT walianzisha CHADEMA(Bob Makani alimuoa dada yake MTEI.Pia ndiye aliyekuwa M/KITI wa chama baada ya MTEI.2.Bob Makani alimuachia uenyekiti MBOWE.Mbowe kamuoa Mtoto wa MTEI. 3.Manunuzi yoyote ya Chama anafanya MBOWE akishirikiana na MTEI. 4.Fedha za msaada kwa chama zilijokua kutoka "Conservative" zilitumika kuanzisha Gazeti la Tanzania Daima-Leo hili ni Gazeti la MBOWE ! 5.Ruzuku,Misaada,michango ya wanachama na wadau(ROSTAM,SABODO na MKONO)Zinaishia makao makuu. 6.Viti maalumu wanagawana tu 7.Ofisi(Jengo La MTEI).WHY..?????

Hii ingekuwa posti dhidi ya ACT mods wangekuwa wameitoa. Angekuwa amesemwa Zitto na tabia za kubadili wanawake wangeingilia kati haraka. Ujinga wa ma-ACT, WAKO KIMYA.
 
Brother wa nyang'wale sionii kama kuna hoja yoyote uliyopost ni vizur ukawa msikilizaji kama huna hoja tundwizii. Kumtaja mtu kama Mtei na Bob Majani kwenye chama si kitu kigeni maana wao ndioo waasisi na waaanzilishi wa chama makini cha CHADEMA. Swala la kuoa na kuolewa mbona lipo ata kwenu CCM au hujui hili tukupashee.
 
Umeona kuwa Mtei aliacha ugavana mwaka 1974 wakati huo Mbowe alikuwa na umri was miaka 13, sasa unawezaje kuunganisha jambo hilo? Wakati mwingine muone aibu kuanzisha madam za kizuzu
 
Tufanye kwamba yote uliyoandika hapo ni KWELI na wanachadema wanayajua. Jenga bas hoja yako sasa. Haitoshi tu kuuliza WHY? Onyesha uhusiano wa hizo hoja na performance, growth au downfall ya chadema kama taasis. Nakuskiliza
Kama ni kweli kuna HAJA gani kuwapeleka CHADEMA IKULU Ilhali hakuna tofauti ya CHADEMA na CCM !!Na huo ukombozi wanaoimba kila siku viongozi wangu wa Chama na kutukaririsha vibwagizo ni nini hasa?
 
Watu wa aina yako mko mstari wa mbele kutaka mabadiliko ila wakati huo huo mkiwa wafitini na wanafiki wakubwa....huna lolote unatafuta tu kuona hisia za watu hapa!
Ndugu @horseshoe unafikiri...."Watanzania wanataka tu MABADILIKO amma MABADILIKO Yenye TIJA"!!Kama ni mabadliko yenye TIJA Unahisi yanapatikana CHADEMA????Na kama ni ndio unadhani kwanini Chama hakiaminiki mbele za Watanzania..????!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom