Ni mwanachama KADI namba No 053548!Tawi la Nyang'wale !!Tusaidiane...
Chadema haina kadi zinazoanzia na namba 0......so hiyo ni kadi ya magamba ....
Ni mwanachama KADI namba No 053548!Tawi la Nyang'wale !!Tusaidiane...
Sawa tumekusikia mtoto wa kigoma.ndio mahana watu wa kigoma wanafunza miguuni kwa kutojijari kimwili na macc yakoSalaam JF ! Ni muda mrefu sana ndani ya chama chetu pendwa(CHADEMA)Kimekuwa kikipata kashfa nyingi sana ambazo kiukweli sisi kama wanachama tumejitahidi sana kukisafisha na kuonesha yako shwari tu hususani hapa JF iwe kwa matusi amma vyovyote vile.Binafsi nimekaa LEO nikajiuliza hivi ni kweli CHADEMA ni chama amma ni KITEGA UCHUMI cha watu FULANI."Yafuatayo ni mambo yanayonitatiza na kama kuna mtu ajuaye anitoe WASIWASI "!! 1.Mzee Edwin Mtei na Bob Makani baada ya kuondoka BOT walianzisha CHADEMA(Bob Makani alimuoa dada yake MTEI.Pia ndiye aliyekuwa M/KITI wa chama baada ya MTEI.2.Bob Makani alimuachia uenyekiti MBOWE.Mbowe kamuoa Mtoto wa MTEI. 3.Manunuzi yoyote ya Chama anafanya MBOWE akishirikiana na MTEI. 4.Fedha za msaada kwa chama zilijokua kutoka "Conservative" zilitumika kuanzisha Gazeti la Tanzania Daima-Leo hili ni Gazeti la MBOWE ! 5.Ruzuku,Misaada,michango ya wanachama na wadau(ROSTAM,SABODO na MKONO)Zinaishia makao makuu. 6.Viti maalumu wanagawana tu 7.Ofisi(Jengo La MTEI).WHY..?????
Ni mwanachama KADI namba No 053548!Tawi la Nyang'wale !!Tusaidiane...
lazima utakuwa na matatizo ya akili! kama unayaona matundu yote hayo, unangoja nini kuondoka na kujiunga na mafisadi wenzako wa CCM?Ni mwanachama KADI namba No 053548!Tawi la Nyang'wale !!Tusaidiane...
Vipi tena mwanachama mwenzangu Facilitator ?!Tusaidiane...
Salaam JF ! Ni muda mrefu sana ndani ya chama chetu pendwa(CHADEMA)Kimekuwa kikipata kashfa nyingi sana ambazo kiukweli sisi kama wanachama tumejitahidi sana kukisafisha na kuonesha yako shwari tu hususani hapa JF iwe kwa matusi amma vyovyote vile.Binafsi nimekaa LEO nikajiuliza hivi ni kweli CHADEMA ni chama amma ni KITEGA UCHUMI cha watu FULANI."Yafuatayo ni mambo yanayonitatiza na kama kuna mtu ajuaye anitoe WASIWASI "!! 1.Mzee Edwin Mtei na Bob Makani baada ya kuondoka BOT walianzisha CHADEMA(Bob Makani alimuoa dada yake MTEI.Pia ndiye aliyekuwa M/KITI wa chama baada ya MTEI.2.Bob Makani alimuachia uenyekiti MBOWE.Mbowe kamuoa Mtoto wa MTEI. 3.Manunuzi yoyote ya Chama anafanya MBOWE akishirikiana na MTEI. 4.Fedha za msaada kwa chama zilijokua kutoka "Conservative" zilitumika kuanzisha Gazeti la Tanzania Daima-Leo hili ni Gazeti la MBOWE ! 5.Ruzuku,Misaada,michango ya wanachama na wadau(ROSTAM,SABODO na MKONO)Zinaishia makao makuu. 6.Viti maalumu wanagawana tu 7.Ofisi(Jengo La MTEI).WHY..?????
Porojo hizi saa nyingine zinachosha , eti Jengo la Mtei Makao makuu ya Chadema ? nafikiri kuna haja ya Chadema kuweha hati ya umiliki wa jengolao na jinsi wanavyolipia kodi ya jengo.
Kuna watu watakufa shinikizo la damu kwani waliyokuwawakielezwa na wasaliti sio ambayo leo wanayaona yakijitokeza kiuhalisia huko mitaani.
Porojo hizi saa nyingine zinachosha , eti Jengo la Mtei Makao makuu ya Chadema ? nafikiri kuna haja ya Chadema kuweha hati ya umiliki wa jengolao na jinsi wanavyolipia kodi ya jengo.
Kuna watu watakufa shinikizo la damu kwani waliyokuwawakielezwa na wasaliti sio ambayo leo wanayaona yakijitokeza kiuhalisia huko mitaani.
Mbinu fake hizo unazotumia, hata buku saba hupati.Salaam JF ! Ni muda mrefu sana ndani ya chama chetu pendwa(CHADEMA)Kimekuwa kikipata kashfa nyingi sana ambazo kiukweli sisi kama wanachama tumejitahidi sana kukisafisha na kuonesha yako shwari tu hususani hapa JF iwe kwa matusi amma vyovyote vile.Binafsi nimekaa LEO nikajiuliza hivi ni kweli CHADEMA ni chama amma ni KITEGA UCHUMI cha watu FULANI."Yafuatayo ni mambo yanayonitatiza na kama kuna mtu ajuaye anitoe WASIWASI "!! 1.Mzee Edwin Mtei na Bob Makani baada ya kuondoka BOT walianzisha CHADEMA(Bob Makani alimuoa dada yake MTEI.Pia ndiye aliyekuwa M/KITI wa chama baada ya MTEI.2.Bob Makani alimuachia uenyekiti MBOWE.Mbowe kamuoa Mtoto wa MTEI. 3.Manunuzi yoyote ya Chama anafanya MBOWE akishirikiana na MTEI. 4.Fedha za msaada kwa chama zilijokua kutoka "Conservative" zilitumika kuanzisha Gazeti la Tanzania Daima-Leo hili ni Gazeti la MBOWE ! 5.Ruzuku,Misaada,michango ya wanachama na wadau(ROSTAM,SABODO na MKONO)Zinaishia makao makuu. 6.Viti maalumu wanagawana tu 7.Ofisi(Jengo La MTEI).WHY..?????
Wew mnafiki mkubwa post zako nyingi umejipambanua kuwa ni act sasa hivi unajiita mwanachadema embu acha unafiki wewe chadema tuachie tunaojitambua nyie mfuateni -------- wenu shida nin
😡
Salaam JF ! Ni muda mrefu sana ndani ya chama chetu pendwa(CHADEMA)Kimekuwa kikipata kashfa nyingi sana ambazo kiukweli sisi kama wanachama tumejitahidi sana kukisafisha na kuonesha yako shwari tu hususani hapa JF iwe kwa matusi amma vyovyote vile.Binafsi nimekaa LEO nikajiuliza hivi ni kweli CHADEMA ni chama amma ni KITEGA UCHUMI cha watu FULANI."Yafuatayo ni mambo yanayonitatiza na kama kuna mtu ajuaye anitoe WASIWASI "!! 1.Mzee Edwin Mtei na Bob Makani baada ya kuondoka BOT walianzisha CHADEMA(Bob Makani alimuoa dada yake MTEI.Pia ndiye aliyekuwa M/KITI wa chama baada ya MTEI.2.Bob Makani alimuachia uenyekiti MBOWE.Mbowe kamuoa Mtoto wa MTEI. 3.Manunuzi yoyote ya Chama anafanya MBOWE akishirikiana na MTEI. 4.Fedha za msaada kwa chama zilijokua kutoka "Conservative" zilitumika kuanzisha Gazeti la Tanzania Daima-Leo hili ni Gazeti la MBOWE ! 5.Ruzuku,Misaada,michango ya wanachama na wadau(ROSTAM,SABODO na MKONO)Zinaishia makao makuu. 6.Viti maalumu wanagawana tu 7.Ofisi(Jengo La MTEI).WHY..?????
Kama ni kweli kuna HAJA gani kuwapeleka CHADEMA IKULU Ilhali hakuna tofauti ya CHADEMA na CCM !!Na huo ukombozi wanaoimba kila siku viongozi wangu wa Chama na kutukaririsha vibwagizo ni nini hasa?Tufanye kwamba yote uliyoandika hapo ni KWELI na wanachadema wanayajua. Jenga bas hoja yako sasa. Haitoshi tu kuuliza WHY? Onyesha uhusiano wa hizo hoja na performance, growth au downfall ya chadema kama taasis. Nakuskiliza
Ndugu @horseshoe unafikiri...."Watanzania wanataka tu MABADILIKO amma MABADILIKO Yenye TIJA"!!Kama ni mabadliko yenye TIJA Unahisi yanapatikana CHADEMA????Na kama ni ndio unadhani kwanini Chama hakiaminiki mbele za Watanzania..????!Watu wa aina yako mko mstari wa mbele kutaka mabadiliko ila wakati huo huo mkiwa wafitini na wanafiki wakubwa....huna lolote unatafuta tu kuona hisia za watu hapa!