True That... Tutakuwa ni NCHI PEKEE DUNIANI yenye MGOMBEA BINAFSI na hii ni kwasababu ya VIONGOZI waliobaki NCHINI hawakuwa VIONGOZi walipewa nafasi kuzijaza tuuu kwasababu ya UNYENYEKEVU na SIO UELEWA wa SIASA...
Sasa we ARE GOING TO PAY DEARLY...
Wrong!! rais anachaguliwa na wananchi na anawajibika kwao tu, na siyo kwa vyama vya siasa. Haya mambo ya kamati kuu za vyama hayana maana.
Mzee mtei anawasiwasi na kijana zitto manake jamaa akisimama kama yeye baada ya kumbania basi chadema wanaweza ambulia aibu.
Mwananchi ni gazeti la udaku ZeMarcopolo
Nilitoa maoni yangu kwamba Rais awe ni kiongozi wa chama cha siasa kilicho na sera zinazokubalika na pia wasaidizi wanaojulikana na kukubalika kwa wapiga kura. Wapiga kura wachague chama chenye sera na viongozi waadilifu, wazalendo na wenye kutaka kutuondoa katika lindi la umaskini.
Fisadi lililokwapua maliasili na rasilimali za umma na kuzificha katika akaunti za siri nje ya Tanzania, linaweza kuzirudisha na kuzitumia kununua kura na kuchakachua matokeo ya Uchaguzi Mkuu, ili lituongoze kama Rais wa kujitegemea. Likifaulu kuchaguliwa ndio tumekwisha!
Fisadi lililokwapua maliasili na rasilimali za umma na kuzificha katika akaunti za siri nje ya Tanzania, linaweza kuzirudisha na kuzitumia kununua kura na kuchakachua matokeo ya Uchaguzi Mkuu, ili lituongoze kama Rais wa kujitegemea. Likifaulu kuchaguliwa ndio tumekwisha!
Kuwa na Rais binafsi na kuruhusu ni vitu viwili tofauti.Mkuu Kiranga unaweza kutupa mifano ya nchi ambazo zinaongozwa na wagombea binafsi?
Watu wengine tuna wasi wasi kama Mzee Mtei, lakini tukipata mifano hai iatatusaidia.
Nilitoa maoni yangu kwamba Rais awe ni kiongozi wa chama cha siasa kilicho na sera zinazokubalika na pia wasaidizi wanaojulikana na kukubalika kwa wapiga kura. Wapiga kura wachague chama chenye sera na viongozi waadilifu, wazalendo na wenye kutaka kutuondoa katika lindi la umaskini.
Fisadi lililokwapua maliasili na rasilimali za umma na kuzificha katika akaunti za siri nje ya Tanzania, linaweza kuzirudisha na kuzitumia kununua kura na kuchakachua matokeo ya Uchaguzi Mkuu, ili lituongoze kama Rais wa kujitegemea. Likifaulu kuchaguliwa ndio tumekwisha!
Naamini pia tatizo la gesi Mtwara, ambalo naliona kama Janga la Kitaifa, lingeweza kuepukwa kama serikali za majimbo au wilaya zingepewa uwezo wa kutumia raslimali zao kwa maelewano na Serikali Kuu.
Nawasamehe wanaotumia lugha isiyokuwa na heshima kwa wazee kama mimi. Wamelelewa vibaya. Poleni sana.
Kuwa na Rais binafsi na kuruhusu ni vitu viwili tofauti.
Marekani wanaruhusu wagombea binafsi na kila uchaguzi huwa kunakuwa na wagombea binafsi wa Urais.
True That... Tutakuwa ni NCHI PEKEE DUNIANI yenye MGOMBEA BINAFSI na hii ni kwasababu ya VIONGOZI waliobaki NCHINI hawakuwa VIONGOZi walipewa nafasi kuzijaza tuuu kwasababu ya UNYENYEKEVU na SIO UELEWA wa SIASA...
Sasa we ARE GOING TO PAY DEARLY...
Rais siyo wa chama cha siasa Rais ni wa Wananchi. Wananchi ndiyo wana haki ya kuchaguwa ni mtu wa gani ambae wanataka hawaongoze siyo lazima chama.
Mfano mdogo bungeni watu wapo kwa ajili ya vyama siyo Wananchi.
Mtei pumzika tu mzee wetu kwanza ulilalamika hii tume imejaa udini Waislam wengi.
Kuna watu hawataki mambo ya vyama vya siasa.
Nilitoa maoni yangu kwamba Rais awe ni kiongozi wa chama cha siasa kilicho na sera zinazokubalika na pia wasaidizi wanaojulikana na kukubalika kwa wapiga kura. Wapiga kura wachague chama chenye sera na viongozi waadilifu, wazalendo na wenye kutaka kutuondoa katika lindi la umaskini.
Fisadi lililokwapua maliasili na rasilimali za umma na kuzificha katika akaunti za siri nje ya Tanzania, linaweza kuzirudisha na kuzitumia kununua kura na kuchakachua matokeo ya Uchaguzi Mkuu, ili lituongoze kama Rais wa kujitegemea. Likifaulu kuchaguliwa ndio tumekwisha!
Naamini pia tatizo la gesi Mtwara, ambalo naliona kama Janga la Kitaifa, lingeweza kuepukwa kama serikali za majimbo au wilaya zingepewa uwezo wa kutumia raslimali zao kwa maelewano na Serikali Kuu.
Nawasamehe wanaotumia lugha isiyokuwa na heshima kwa wazee kama mimi. Wamelelewa vibaya. Poleni sana.
Ndiyo maana ya demokrasia ...usichokijua ni kuwa kutakuwa na mvurugano wa kisiasa.wanasiasa watatumia mbinu zozote za kujitafutia umaarufu ndani ya vyama vyao muwaone mashujaa then dakika za majeruhi wanajitoa kwenye vyama wasipoteuliwa na kusimama kama wagombea binafsi.hapo tutapata rais mwenye tamaa ya madaraka,mwenye visasi,chuki,atatengeneza baraza la mawaziri kwa kujuana na mwisho wa siku atakuwa huru kwa sababu alijileta mwenyewe na mkamchagua yeye so hakuna wa kumwajibisha.usinidanganye wananchi watamwajibisha coz hata huyu tuliyenaye kama hao wananchi wangekuwa na huo uthubutu wa kuwajibisha wangekuwa tayari wamemwajibisha kwa wanavyomlalamikia but coz ni mazezeta hawawezi.