Mtei akosoa mgombea binafsi kuruhusiwa kuwania urais

Mawazo ya Mzee Mtei tunayaheshimu. Hata hivyo, afahamu kuwa asilimia kubwa ya wapiga kura siyo wanachama wa Chama chochote cha siasa. Kwa mantiki hiyo, hawahitaji sera za chama cha siasa. Wananchi wanachotaka ni maendeleo yao na nchi kwa ujumla!
 
Aende zake huko, kwanza maoni ya watu watu kama yeye hayana tija kwa taifa, au humjui kuwa alikuwa mnafiki kwa baba yetu wa Taifa?

Hayo maoni yake amelenga kuiokoa CHADEMA, kwani baada ya upuuzi wa majimbo kutoingizwa kwenye rasimu, hajaridhika na mgombea binafsi ili aendelee kumkandamiza Zitto, yeye na genge lake.

Kimsingi kila Mtanzania na haki ya kutoa maoni. Hebu tuliangalie hili suala la serikali za majimbo, kama kuna mtu anaielewa vema falsafa naomba aweke wazi mawazo yake tuliokuwa hatuijui tuweze kuelewa faida na hasara zake. Kwa vile hiki ndiyo kipindi cha sisi kujenga au kubomoa, ni vema mambo yote yawekwe wazi mapema kabla KATIBA hii MPYA haijaanza kutumika.
 
Wrong!! rais anachaguliwa na wananchi na anawajibika kwao tu, na siyo kwa vyama vya siasa. Haya mambo ya kamati kuu za vyama hayana maana.

Toka lini? Sasa kama Haujui ITIKADI ya CHAMA Huyo MTU akkisema yeye ni Fascist au Segregationist alisahau kuwaambia Majuwaani sababu hana chama itikadi zake zinatoka kichwani mwake wewe bado utakaa akuchinje akubague sababu tu alikupa huo UONGO wake JUKWAANI?
 
Dis agree with him kuhusu kuunda mawaziri.
Tunataka mawaziri wasitokane na bunge wala vyama vya siasa...

Kwa mantiki hii mgombea binafsi ataweza kuunda serikali.
 
Wakati ule Mtikila ameshinda kesi yake ya kutaka Mgombea binafsi NA serikali kumbania, wewe Ritz NA ndugu zako akina Malaria sugu mlikuwa mstari WA mbele sana kumpinga mgombea binafsi. Leo hii, wamemkubali mmeamua kuwa Bender

a! Duh!

naona unalazimisha watu wakubaliane na Mtei , soma signature yangu "My loyalty is to reason,and as a reasonable person I reserve the right to change my mind when presented with new information that alters my perspective"


 

True That... Tutakuwa ni NCHI PEKEE DUNIANI yenye MGOMBEA BINAFSI na hii ni kwasababu ya VIONGOZI waliobaki NCHINI hawakuwa VIONGOZi walipewa nafasi kuzijaza tuuu kwasababu ya UNYENYEKEVU na SIO UELEWA wa SIASA...

Sasa we ARE GOING TO PAY DEARLY...

Acha uongo mkuu. Nikupe mfano mmoja tu. Marekani inao wagombea binafsi.
 
Nilitoa maoni yangu kwamba Rais awe ni kiongozi wa chama cha siasa kilicho na sera zinazokubalika na pia wasaidizi wanaojulikana na kukubalika kwa wapiga kura. Wapiga kura wachague chama chenye sera na viongozi waadilifu, wazalendo na wenye kutaka kutuondoa katika lindi la umaskini.

Fisadi lililokwapua maliasili na rasilimali za umma na kuzificha katika akaunti za siri nje ya Tanzania, linaweza kuzirudisha na kuzitumia kununua kura na kuchakachua matokeo ya Uchaguzi Mkuu, ili lituongoze kama Rais wa kujitegemea. Likifaulu kuchaguliwa ndio tumekwisha!

Naamini pia tatizo la gesi Mtwara, ambalo naliona kama Janga la Kitaifa, lingeweza kuepukwa kama serikali za majimbo au wilaya zingepewa uwezo wa kutumia raslimali zao kwa maelewano na Serikali Kuu.

Nawasamehe wanaotumia lugha isiyokuwa na heshima kwa wazee kama mimi. Wamelelewa vibaya. Poleni sana.

Mzee hapa napingana na wewe. Umesema fisadi alieiba rasilimali za umma na kuzificha nje ya nchi anawe kuzirudisha na kuzitumia kununulia kura na matokeo ya uchaguzi mkuu je fisadi huyo huyo ana shindwa vipi kutumia fedha zake kushinda ndani ya chama au kumnunua mtu ambae ni mgombea wa chama?

Kwa heshima na taadhima nasema your argument is invalid. Kama shida ni pesa za kifisadi kutumika kwenye chaguzi hata sasa kwenye mfumo usio na mgombea binafsi hilo laweza tokea.
 
hii issue ya kukatana majina dakika za mwisho itakuwa imeshapata muarobaini. Kata jina nachukua form mgombea binafsi. Vyama vya siasa vitakosa nguvu. pia ukinifukuza chama bado nitakuwa na ubunge mpaka kipindi changu kiishe sababu nawakilisha wananchi walionichagua
 
Wakati ule Mtikila ameshinda kesi yake ya kutaka Mgombea binafsi NA serikali kumbania, wewe Ritz NA ndugu zako akina Malaria sugu mlikuwa mstari WA mbele sana kumpinga mgombea binafsi. Leo hii, wamemkubali mmeamua kuwa Bender

a! Duh!

Ngoja nifukue ushahidi huo
 
Mawazo ya Mzee Mtei tunayaheshimu. Hata hivyo, afahamu kuwa asilimia kubwa ya wapiga kura siyo wanachama wa Chama chochote cha siasa. Kwa mantiki hiyo, hawahitaji sera za chama cha siasa. Wananchi wanachotaka ni maendeleo yao na nchi kwa ujumla![/QUOT

PAMOJA NA LIKE YANGU NILIOKUPA MKUU MAWAZO YAKO MAZURI MNO.
 
Huyu Mzee yeye apumzike tu. Uzee ni busara lakini kuna kuteleza. Rais anawajibika kwa Wananchi wake na si Chama Cha Siasa!
 
mzee wangu mtei una khofu kubwa sana na kijana wako zitto manake una mbania sana kuwakilisha chamma chako katika ngazi ya juu sas ukimchezea tena atakukimbia na itakuwa anguko la ajabu la chama chako.
 
Toka lini? Sasa kama Haujui ITIKADI ya CHAMA Huyo MTU akkisema yeye ni Fascist au Segregationist alisahau kuwaambia Majuwaani sababu hana chama itikadi zake zinatoka kichwani mwake wewe bado utakaa akuchinje akubague sababu tu alikupa huo UONGO wake JUKWAANI?

Mkuu, kwani Wananchi wakimtaka tatizo liko wapi???? Kuna tofauti gani ya kuruhusu mgombea binafsi ngazi za chini na kuacha katika ngazi ya Urais??

Hapa tunabishan mitazamo tu, lakini kila kitu kina faida yake na hasara yake. Ambazo katika hali ya kawaida, ni Wananchi ndo wataamua mfumo wanaoutaka.
 
Kwani fisadi huyo anashindwa vipi kuanzisha chama cha siasa akanunua kura? Kwani kununua kura mpaka awe mgombea binafsi?

Kama wewe uliweza kuanzisha CHADEMA, fisadi huyo unayemuogopa atashindwa vipi kuanzisha CCJ?
si ndo ushangae sasa,kwani ukigombea kupitia chama ndo huwezi kuwa fisadi?

Bunge litakua na mamlaka ya kudeal na rais na wabunge wakileta uzembe wananchi watakua na nguvu ya kuwatoa.
 
Tanzania bado sana mgombea kusimama mwnyewe kama mwenyewe bila kupitia chama na akashinda.We still have a long way to go in order to reach that level.
 
Back
Top Bottom