kuna mhuni zaidi ya bashite nchi hii,kwanza alimpiga mzee warioba,alipopewa ukuu wa mkoa akatukana watumishi wenye vyeti halali na sio feki kama vyake na juzi amevamia kituo binafsi cha redio na tv akiwa na wanajeshi wenye silaha nzito!!!!Wanaolalamikia JPM ni wale wahuni. Tena sitaki hata kuwasikia. Walizoea kufanya Tanzania shamba la bibi. No more!
Ningekuwa Mimi ndiye cag ambaye hata akina frankwood wana imani na mimiRais ameonyesha udhaifu mkubwa sana , hii INA maana kwamba hamwamini CAG
Ili kutoa uamuzi mzuri independent teams could work on the same subject and compare the results....kitu kibaya ni kumuonea mwekezaji kama hana hatia.. .. kutafuta ukweli ni wajibu wa serikali thabitiLeo katika kufatilia taarifa ya habari katika kituo kimoja cha television hapa nyumbani, imeonesha Mkaguzi Mkuu wa hesabu wa Serikali amekabidhi ripoti yake kwa Mh. Rais ikulu.
Katika makabidhiano hayo, Rais ameenda mbali zaidi na kumpa kazi nyingingine, "akimtaka" Mkaguzi huyo akakague migodi ya madini na aje na ripoti ya kuonesha taifa/serikali ina nufaika vipi na mchanga unaosafirishwa kwenda nje.
Mbali na kumuagiza huko, Rais kasema kwamba, ataunda tume nyingine ichunguze suala hili hilo, na ataunda "timu" nyingine hisiyojulikana (invisible team) kuchunguza jambo hilo hilo pia.
Sasa hapa najiuliza, kuna ulazima gani tena Rais aunde tume na invisible team, wakati ameishamwagiza CAG kufanya jambo hilo?
What if, kama hiyo tume na team zikaja na majibu tofauti na ya CAG?
Je Kazi anayofanya CAG haiaminiki kwa serikali au Rais ndio hana imani na CAG?
Na nyie mnasema asipounda tume ni "udikteta." Acheni unafiki pia.Si alisema kwenye uongoz wake hamna mambo ya kuunda tume yeye ni maamuzi tu?.. wabongo tuache unafiki
Kwani wewe humjibRais wako?Leo katika kufatilia taarifa ya habari katika kituo kimoja cha television hapa nyumbani, imeonesha Mkaguzi Mkuu wa hesabu wa Serikali amekabidhi ripoti yake kwa Mh. Rais ikulu.
Katika makabidhiano hayo, Rais ameenda mbali zaidi na kumpa kazi nyingingine, "akimtaka" Mkaguzi huyo akakague migodi ya madini na aje na ripoti ya kuonesha taifa/serikali ina nufaika vipi na mchanga unaosafirishwa kwenda nje.
Mbali na kumuagiza huko, Rais kasema kwamba, ataunda tume nyingine ichunguze suala hili hilo, na ataunda "timu" nyingine hisiyojulikana (invisible team) kuchunguza jambo hilo hilo pia.
Sasa hapa najiuliza, kuna ulazima gani tena Rais aunde tume na invisible team, wakati ameishamwagiza CAG kufanya jambo hilo?
What if, kama hiyo tume na team zikaja na majibu tofauti na ya CAG?
Je Kazi anayofanya CAG haiaminiki kwa serikali au Rais ndio hana imani na CAG?
Upo sahihi!Ata akizingua awez mtumbua kirahisi mpaka Mda wake uishe..CAG is appointed by president ila kuondolewa Adi Mda wake uishe..otherwise majaji Wa 3 Wa common wealth wakae na kujiridhisha..from katiba..correct me if am wrong
Naweza nikasema tokea rais aingie madarakani mpaka leo ametuma migodini task force cyo chini ya tanoCAG naye ni binadamu, na hii issue ni nyeti. Huko nyuma tuliona Ma CAG wakishambuliwa bungeni kwa kupindisha ukweli.
Kwa kuunda timu kadhaa, Rais anataka tu kujiridhisha na ukweli ..! Nafikiri ni strategy nzuri kwa kiongozi yeyote.
Ata akizingua awez mtumbua kirahisi mpaka Mda wake uishe..CAG is appointed by president ila kuondolewa Adi Mda wake uishe..otherwise majaji Wa 3 Wa common wealth wakae na kujiridhisha..from katiba..correct me if am wrong
Soma vizuri nilichoandika then ujibu.. acha kukurupukaNa nyie mnasema asipounda tume ni "udikteta." Acheni unafiki pia.
Anaweza u igpKila siku zinavyozidi kwenda ndivyo Magufuli anavyozidi kujionyesha kwamba kazi ya urais haiwezi.
Hakuwa na haja ya kusema publicCAG naye ni binadamu, na hii issue ni nyeti. Huko nyuma tuliona Ma CAG wakishambuliwa bungeni kwa kupindisha ukweli.
Kwa kuunda timu kadhaa, Rais anataka tu kujiridhisha na ukweli ..! Nafikiri ni strategy nzuri kwa kiongozi yeyote.
Leo katika kufatilia taarifa ya habari katika kituo kimoja cha television hapa nyumbani, imeonesha Mkaguzi Mkuu wa hesabu wa Serikali amekabidhi ripoti yake kwa Mh. Rais ikulu.
Katika makabidhiano hayo, Rais ameenda mbali zaidi na kumpa kazi nyingingine, "akimtaka" Mkaguzi huyo akakague migodi ya madini na aje na ripoti ya kuonesha taifa/serikali ina nufaika vipi na mchanga unaosafirishwa kwenda nje.
Mbali na kumuagiza huko, Rais kasema kwamba, ataunda tume nyingine ichunguze suala hili hilo, na ataunda "timu" nyingine hisiyojulikana (invisible team) kuchunguza jambo hilo hilo pia.
Sasa hapa najiuliza, kuna ulazima gani tena Rais aunde tume na invisible team, wakati ameishamwagiza CAG kufanya jambo hilo?
What if, kama hiyo tume na team zikaja na majibu tofauti na ya CAG?
Je Kazi anayofanya CAG haiaminiki kwa serikali au Rais ndio hana imani na CAG?
Taasisi ina macho ila rais kajipofusha.Taasisi ya Urais ina macho, yaweza kutazama na kuchunguza jambo mara nyingi itakavyo bila masharti ili kujiridhisha. Kukujulisha kuwa macho yapo 'active' katika uchunguzi wake ni sehemu pia ya kutoa maangalizo na kuweka nidhamu katika vyombo / taasisi nyingine zinazofanya kazi katika Nchi. 'He is really watching.'