Kichaa at workLeo katika kufatilia taarifa ya habari katika kituo kimoja cha television hapa nyumbani, imeonesha Mkaguzi Mkuu wa hesabu wa Serikali amekabidhi ripoti yake kwa Mh. Rais ikulu.
Katika makabidhiano hayo, Rais ameenda mbali zaidi na kumpa kazi nyingingine, "akimtaka" Mkaguzi huyo akakague migodi ya madini na aje na ripoti ya kuonesha taifa/serikali ina nufaika vipi na mchanga unaosafirishwa kwenda nje.
Mbali na kumuagiza huko, Rais kasema kwamba, ataunda tume nyingine ichunguze suala hili hilo, na ataunda "timu" nyingine hisiyojulikana (invisible team) kuchunguza jambo hilo hilo pia.
Sasa hapa najiuliza, kuna ulazima gani tena Rais aunde tume na invisible team, wakati ameishamwagiza CAG kufanya jambo hilo?
What if, kama hiyo tume na team zikaja na majibu tofauti na ya CAG?
Je Kazi anayofanya CAG haiaminiki kwa serikali au Rais ndio hana imani na CAG?
Wanawake wenye payo namna hii, wana msongo wa mawazo sana. Zungumza na unayemuamini uliye nae karibu akusaidie kimawazo. Pole sana, yatakwisha.
siyo hivyo tu na Bunge 'ameliagiza' liunde tume ya uchunguzi! What a waste of resources?Leo katika kufatilia taarifa ya habari katika kituo kimoja cha television hapa nyumbani, imeonesha Mkaguzi Mkuu wa hesabu wa Serikali amekabidhi ripoti yake kwa Mh. Rais ikulu.
Katika makabidhiano hayo, Rais ameenda mbali zaidi na kumpa kazi nyingingine, "akimtaka" Mkaguzi huyo akakague migodi ya madini na aje na ripoti ya kuonesha taifa/serikali ina nufaika vipi na mchanga unaosafirishwa kwenda nje.
Mbali na kumuagiza huko, Rais kasema kwamba, ataunda tume nyingine ichunguze suala hili hilo, na ataunda "timu" nyingine hisiyojulikana (invisible team) kuchunguza jambo hilo hilo pia.
Sasa hapa najiuliza, kuna ulazima gani tena Rais aunde tume na invisible team, wakati ameishamwagiza CAG kufanya jambo hilo?
What if, kama hiyo tume na team zikaja na majibu tofauti na ya CAG?
Je Kazi anayofanya CAG haiaminiki kwa serikali au Rais ndio hana imani na CAG?
Kwa nn mnamsaidia kusema? Yeye ni binadamu hakuna asiye na mapungufu na km amechemka sehemu ni sawa pia its part of life. Hakuna rais amewahi kulalamikiwa km huyu kwa maamuzi yake yenye utata.
Mkuu kwanza amini kila kazi ifanyikayo kwaajili ya taifa ni muhimu, tatizo pengine linaweza kuja kwenye priority au strategy katika jambo husika. Je Rais akiamua kufanya au kijiaminisha katika kila kitu hapo kulikuwa kuna haja gani ya kuteua wasaidizi wake tena ambao amewaamini na kiwafanyia uchunguzi wa kujiridhisha?
Hata yeye aliaminiwa ndio maana akateuliwa kugombea mpaka kuchavuliwa, Je tuamini kwamba kwa baadhi ya makosa yanayotokea yanatokana na waliomuamini ndio maana katufikisha hapa?
Na daima mjinga ndio anayeuliza mkuu, na ni bora, kuliko yule mwelevu hasiuejua akaa kimya wakati hajui, huyu atakuwa hana tofauti na mpumbavu.
Si alisema kwenye uongoz wake hamna mambo ya kuunda tume yeye ni maamuzi tu?.. wabongo tuache unafikiCAG naye ni binadamu, na hii issue ni nyeti. Huko nyuma tuliona Ma CAG wakishambuliwa bungeni kwa kupindisha ukweli.
Kwa kuunda timu kadhaa, Rais anataka tu kujiridhisha na ukweli ..! Nafikiri ni strategy nzuri kwa kiongozi yeyote.
Poor leader ever seen in this worldRais ameonyesha udhaifu mkubwa sana , hii INA maana kwamba hamwamini CAG
Chukua,soda kwa mangi nakuja kulipaWanawake wenye payo namna hii, wana msongo wa mawazo sana. Zungumza na unayemuamini uliye nae karibu akusaidie kimawazo. Pole sana, yatakwisha.
Haaminiki mtu hapa ili kujiridhisha lazima kuwa na vyombo zaidi ya kimoja,siku hizi kuna ujanja mwingi kutoka kwa hawa wataalamu,na nyie hamna zuri kila kitu ni kuloloma tu,yakitokea mabaya ni wa kwanza kulaumu kuwa oh mbona serikali haikufanya hivi na vileRais ameonyesha udhaifu mkubwa sana , hii INA maana kwamba hamwamini CAG
Hawa wataalamu wetu sio wa kuamini hata asilimia 50Rais ameonyesha udhaifu mkubwa sana , hii INA maana kwamba hamwamini CAG