denoo49
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 6,113
- 6,953
- Thread starter
- #21
Mzee wa watu anatafutiwa target bro, let's wait n see. Binafsi nami hapo ndipo palipo nivunja nguvu katika hiyo kazi anayoenda kuifanya kama itamuacha Salama, chini ya hicho kivuli cha "invisible team"Ahsante sana kwa kunifungua macho kuhusu hilo la invisible team. Kwanini kuwepo na invisible team kwa kazi ambayo imeshakamilishwa na CAG!?
Huku si kuongeza gharama za uendeshaji za Serikali ambazo tuliambiwa zinapunguzwa!?
Hii invisible team inaleta wasiwasi mkubwa sana na nadhani dhumuni lake kubwa ni kumpinga CAG huku wakiendelea kufichwa nyuma ya pazia. HATARI!