Ngisibara
JF-Expert Member
- Jan 2, 2009
- 3,306
- 2,082
Hakika 'Chief', taifa letu kwa kukosa uongozi bora, busara, na uwezo wa kujizuia nafsi tamaa za kidunia za kupata kingi na zaidi. Hebu fikiria kwa juhudi zote chafu hii ndio tena habari nyeti kati duru za ndani ya serikali zinasema kuna mpango wa siri mno Raisi sasa kutoroka nchi kupiti kwa Prof Bingu wa Mutharika.
Ndani tu ya mwezi mmoja keshachanja mbuga mara mbili huko. Na unafikiri hela zinazoendelea kutoroshwa nchi hadi dakika hii zitakua ni shilingi ngapi? Kwa kweli mwakani huko na kwa kuendelea sipati picha maisha yatakua magumu kiasi gani hasa vijijini.
Waacheni walipe..maisha yawe magumu mara kumi zaidi kwa watanzania na ndipo Dr Slaa atakapopenya kiurahisi ingawa itakuwa kama Ivory Cost