ZenaTulivu
Senior Member
- Jan 1, 2011
- 137
- 4
Waacheni walipe..maisha yawe magumu mara kumi zaidi kwa watanzania na ndipo Dr Slaa atakapopenya kiurahisi ingawa itakuwa kama Ivory Cost
Ni nani anayejidanganya CCM kutoweka baada ya kuilipa kampuni ya kimahayawani Dowans? Kwa maoni yangu hapo ndipo watakapojiimarisha zaidi na hizo hizo fedha watakazochota.
Nyinyi laleni tu usingizi hapo na kuhesabu mikono ya binadamu kudondoka chini sawasawa na yalivyo mawazo ya mnyama fisi.