Cheyo,mama na mafisadi wengine walipiga kura ya ndiyo kupitisha bajeti ya kifisadi!
Zitto anamsapoti mama killango.
Zitto alikuwa kwenye kamati ya madini yeye na cheyo na Iddi Simba.
Iddi Simba alitumia cheo chake cha ccm Wazazi chairmani kuiba pesa za EPA kwa kushirikiana na kina Lukaza na Malegesi!
Wote wanamsapoti mama anayepewa sapoti na wazalendo?
Mjadala uendelee na nina amnini tutapata mzalendo wa kuiongoza nchi!
Bado nina kaimani kwa mbali na huyu mama..Ila there is a lot to be done!