Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
Jmushi hizi attacks kwa mama huyu hazina sababu maana nina hakika ni mpambanaji dhidi ya mafisadi ambao nyerere aliwaita manyang'au. Sasa siraha mbona tunaelekezeana badala ya kuelekeza kwa adui?
Nimemuomba Mushi aweke ufisadi wa Mama Malecela hapa na bado hajafanya hivyo. Mushi amenikumbusha anko wangu mmoja ambaye yeye anajiamini kuwa ni yeye peke yake tu anayeweza kuiongoza Tanzania na wengine wote walio kwenye upinzani anawaona kama opportunists na wana ccm anaona wote ni wezi tu.