Mtego huu tokeni! CCM are controlling your mind! Shame

Mtego huu tokeni! CCM are controlling your mind! Shame

You have very serious observations for the great thinkers. However one should not forget that in a serious fight the target is the command-in-chief (CIC) followed by the platoon (s). While people are focusing on the group the efforts to tactically attacking commandos should not be undermined. The target figures are such influential to change the course than the system itself, they are so organized than the group.

The within group that is against them is perishing slowly you too if you are not carefully you may perish in the course, believe me.

Any meaningful efforts should target them all, the figures and group altogether.


Note: the Figures' Power > the group's power as at now, externals' power < the group's power it follows then externals' power < the figures' power if you are not careful enough!

I concur with you wit slight observations as presented.


I stand to be corrected!
 
"Hakuna msafi ccm woote ni wachafu na wako after matumbo yao"

Kabla hata sijasoma maoni ya wengine,, mimi naanzia kwenye wekundu hapo juu. Sentensi hii si ya kweli,, sikatai kwamba wapo watu wachafu sana CCM, lakini huwezi kuniambia kwamba katika wanachama woote wa CCM nchi nzima hakuna aliye mzalendo wa kweli?? Kwa maana nyingine unataka kusema kwamba katika CDM wote ni wasafi? Wawe wote wasafi wanakaa Tanzania ipi?? hii hii ninayoijua? Kama ndivyo basi hawa ni malaika hawakai nasi humu duniani. Tusiwe biased tunapotoa hoja.
Kwa mtazamo wangu kusema kwamba unaikataa tu CCM, inaweza ikawa si sahihi,, nadhani ni vyema tuwakatae waovu na ambao si wazalendo wa nchi yetu. Sasa leo tunasikia kwamba Lowassa anauma CCM na CDM kote,, je siku ya siku akahamia CDM baada ya kuona CCM inaweza isishinde,, utakataa? Na utakataaje ikiwa viongozi na kamati kuu ya CDM itakuwa imemkubali? Wewe ni nani wa kukataa? Ndiyo maana nasema, hawa watu waovu wapo CCM, na hata CDM wapo sana tu. CDM ni watanzania kama wengine. Ifike mahali tuwe na common goal kama Tanzanians regardless ya itikadi zetu. Ikiwa kuna mtu mchafu CCM, nawe ni mwanachama wa CCM, simama imara kupinga huyo asiingie madarakani, vivyo hivyo kwa CDM na vingine vyote, kama kuna mtu mchafu asiyeweka mbele maslahi ya Taifa apingwe vikali sana. Binafsi yangu sipendi kuona Lowassa wala Mbowe wanashika nyadhifa za juu, nasema sipendi. Mimi nimeona kwamba wewe huangalii kiongozi bali unaangalia chama gani,, kwamba tu ili mradi si CCM chama chochote au kiongozi toka chama chochote hata kama si muadilifu pia?? No way.
 
Waberoya,

Huwa kuna wakati unakuja na Point kama vile "Tanzania tuwe na umeme wa Nyuklia ili tumalize shida ya umeme....." au "Chadema wawasiliane na watu kwa EMAIL....." vitu kama hivyo ambavyo kwa Tz kwa sasa kuvifanya ni ndoto. Kibaya zaidi huwa unatoa lawama kubwa sana kwa Chadema kwa kutokuliona hilo......

Hii habari kwa kweli imekaa WAZI mno na kila mtu inabidi tu ainamishe kichwa na kusema HEWALA.

Ni Point inayofanyika kabisa na haihitaji pesa wala nyenzo zozote. Umeisaidia sana Chadema kutokujiingiza kwenye mtego ambao labda tayari walishaanza kujiingiza na nikiri hata mie nilikuwa ndani ya huo mtego.

Nakumbuka wakati Mwinyi akiwa Rais, na Nyerere akawa akisagia sana CCM na kumpa shavu Mrema, niliamini kuwa hata JKN ameichoka CCM na atasaidia chama cha upinzani. Nilikuwa nikishangilia kila maneno ya Nyerere kwa hatua hiyo na kuamini kuwa sasa kweli kumeanza vyama vya upinzani. Ndoto yangu alikuja kuimaliza Wakili mmoja hapo Dar kama sikosei anaitwa Michael Wambali na akaniambia "Sikonge, wewe humfahamu Nyerere kijana. Subiri utaiona kimbunga sasa hivi....."

Haikupita siku akaja na kusema "Ninawaletea Mr. Clean aka Mkapa....." na tukaishia kuwa na Anna Mkapa, Kiwira, EPA, kuuzwa mashirika ya Umma .........................

Nakubaliana na wewe kuwa, watu tukimshupalia Lowassa au RA kama siyo Magufuli, jamaa watatupiga goli la Kisigino dakika ya mwisho kwa kuleta mtu kama Asha Migiro type na hapo tutabaki midomo wazi. Dawa nzuri umeiona nayo ni MTOTO WA NYOKA NI NYOKA. CCM hadi ibadilike na hiyo Mizee/Mifisadi huko juu iishe au kupungua. Vinginevyo, kila atakayekuja itakuwa madudu yaleyale......
 
Mkuu Waberoya! Umeusema ukweli ambao wengi hawataki hata kuuona seuze kuumeza! Tunapenda kwenda nje ya hoja na kujisahaulisha mazito tuliyonayo. Tulipoandamana hakuna aliyeshinikiza MAFISADI wakamatwe! Hatujiulizi ni kwanini! wala hapana hata mmoja wetu anaetaka kuhoji juu ya hilo! Laiti kama EL au hata RA akisema ahame kule aliko na kwenda sehemu ambayo leo wanawaita majina wanayodhani yanawafaa.. Amini msiamini WATAONEKANA WEMA KULIKO MALAIKA NA KUFAA KWAO HAKUTOKUWA NA KIFANI!!! WATANZANIA HATUCHELEWI KUSAHAU NA HATUKAWII KUSIFIA!!
 
"Hakuna msafi ccm woote ni wachafu na wako after matumbo yao"

Kabla hata sijasoma maoni ya wengine,, mimi naanzia kwenye wekundu hapo juu. Sentensi hii si ya kweli,, sikatai kwamba wapo watu wachafu sana CCM, lakini huwezi kuniambia kwamba katika wanachama woote wa CCM nchi nzima hakuna aliye mzalendo wa kweli?? Kwa maana nyingine unataka kusema kwamba katika CDM wote ni wasafi? Wawe wote wasafi wanakaa Tanzania ipi?? hii hii ninayoijua? Kama ndivyo basi hawa ni malaika hawakai nasi humu duniani. Tusiwe biased tunapotoa hoja.
Kwa mtazamo wangu kusema kwamba unaikataa tu CCM, inaweza ikawa si sahihi,, nadhani ni vyema tuwakatae waovu na ambao si wazalendo wa nchi yetu. Sasa leo tunasikia kwamba Lowassa anauma CCM na CDM kote,, je siku ya siku akahamia CDM baada ya kuona CCM inaweza isishinde,, utakataa? Na utakataaje ikiwa viongozi na kamati kuu ya CDM itakuwa imemkubali? Wewe ni nani wa kukataa? Ndiyo maana nasema, hawa watu waovu wapo CCM, na hata CDM wapo sana tu. CDM ni watanzania kama wengine. Ifike mahali tuwe na common goal kama Tanzanians regardless ya itikadi zetu. Ikiwa kuna mtu mchafu CCM, nawe ni mwanachama wa CCM, simama imara kupinga huyo asiingie madarakani, vivyo hivyo kwa CDM na vingine vyote, kama kuna mtu mchafu asiyeweka mbele maslahi ya Taifa apingwe vikali sana. Binafsi yangu sipendi kuona Lowassa wala Mbowe wanashika nyadhifa za juu, nasema sipendi. Mimi nimeona kwamba wewe huangalii kiongozi bali unaangalia chama gani,, kwamba tu ili mradi si CCM chama chochote au kiongozi toka chama chochote hata kama si muadilifu pia?? No way.

Bwana salimia hoja yako imekaa vizuri kuliko ile ya Waberoya. tumeona juzi hapa wale wanaoshindwa kihalali CCM wakikimbilia CDM wakiwemo na walio wachafu. umepoint kitu kizuri kuwa watu wachafu wanapatikana katika kila chama kwa sababu ya tamaa zao.
nafikiri ni jambo la msingi sana kufikiria (kampeni) kuwaondoa viongozi wabovu katika nchi hii wawe CCM au CDM ua TLP nk. viongozi wengi wabovu wamejikusanyia mamilioni ya fedha na wana uhakika wa kupata ubunge kwa njia yoyote ile hata kwa kubadilisha vyama.
hii dhambi ya kusema CDM pekee ni wasafi itaendelea kututafuna huko baadaye na tutakuja kujijua tukiwa tumechelewa
nawasilisha
 
Kuna mawili kwa yeyote ambaye anang'ang'ania kubaki ndani ya CCM hata awe msafi namna gani. Kwanza: Anafurahia huo uchafu ulioko ndani na kukubaliana nao; AU: Ni mbinafsi, anajali maslahi yake zaidi kuliko maslahi ya nchi, kwa maana kwamba uchafu wa CCM anafaidika nao, na anaogopa kupoteza faida anazozipata huko. THEREFORE: Hakuna cha six, ma-padlocks, au nani; ili mradi wako CCM, wote SIO WASAFI.
 
"Hakuna msafi ccm woote ni wachafu na wako after matumbo yao"

Kabla hata sijasoma maoni ya wengine,, mimi naanzia kwenye wekundu hapo juu. Sentensi hii si ya kweli,, sikatai kwamba wapo watu wachafu sana CCM, lakini huwezi kuniambia kwamba katika wanachama woote wa CCM nchi nzima hakuna aliye mzalendo wa kweli?? Kwa maana nyingine unataka kusema kwamba katika CDM wote ni wasafi? Wawe wote wasafi wanakaa Tanzania ipi?? hii hii ninayoijua? Kama ndivyo basi hawa ni malaika hawakai nasi humu duniani. Tusiwe biased tunapotoa hoja.
Kwa mtazamo wangu kusema kwamba unaikataa tu CCM, inaweza ikawa si sahihi,, nadhani ni vyema tuwakatae waovu na ambao si wazalendo wa nchi yetu. Sasa leo tunasikia kwamba Lowassa anauma CCM na CDM kote,, je siku ya siku akahamia CDM baada ya kuona CCM inaweza isishinde,, utakataa? Na utakataaje ikiwa viongozi na kamati kuu ya CDM itakuwa imemkubali? Wewe ni nani wa kukataa? Ndiyo maana nasema, hawa watu waovu wapo CCM, na hata CDM wapo sana tu. CDM ni watanzania kama wengine. Ifike mahali tuwe na common goal kama Tanzanians regardless ya itikadi zetu. Ikiwa kuna mtu mchafu CCM, nawe ni mwanachama wa CCM, simama imara kupinga huyo asiingie madarakani, vivyo hivyo kwa CDM na vingine vyote, kama kuna mtu mchafu asiyeweka mbele maslahi ya Taifa apingwe vikali sana. Binafsi yangu sipendi kuona Lowassa wala Mbowe wanashika nyadhifa za juu, nasema sipendi. Mimi nimeona kwamba wewe huangalii kiongozi bali unaangalia chama gani,, kwamba tu ili mradi si CCM chama chochote au kiongozi toka chama chochote hata kama si muadilifu pia?? No way.

Ni kweli kuwa hakuna msafi, lakini nadhani nchi hii tunachohitaji ni 'TOTAL OVERHAUL' of the existing system. Yeyote atayeingia kwa tiketi ya CCM ata-tend kumaintain some things/people, maana kumbuka atakuwa anatekeleza matwaka ya chama. Ni kweli pia CDM wapo ambao si safi, lakini kinachotufanya tuthubutu kuwafikiria ni hilohilo hitaji la kutaka kubadili existing system. We need to try something different!
 
big up comrade Waberoya. ni kweli and its disgrace kuona watu makini JF wanajadili possible presidential candidate wa ccm 2015. the issue is kuwapumzisha ccm regardless who stands. daaa! we mutu nomaaaa!
 
Hasira za mkizi hapa tuko labda4000
Hatuwezi kuwa waamuzi CCM haitashinda bila kutoa vigezo ni muhimu humu JF tukapunguza matusi kwani yanapunguza umakini Wa mijadala yetu
 
do i need to say more? kuhani huyu yuko wapi? GT? kishoka, where is this gentlemen? hawa watu wa design ya akina mwanakijiji wanahitajika..kusema ukweli no matter what..ebu niende kwingine
 
Back
Top Bottom