Zing
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 1,767
- 470
Wao( wandishi) wanapenda kujiita mhimili wa nne wa dola baada ya serikali, bunge na mahakama. unaweza kuona hata Teusi za rais za waandika hotuba zinavopewa covarage na prority. Lakini kuna teuzi za watu wengine muhimu watu hawawajui wanamsaidia rais wetu.