Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Mataifa yaliyo endelea na ambayo yamekuwa yakitufadhili kwenye sekta mbali mbali ya kumaendeleo yanazidi kutoa maoni yao juu ya matokeo ya uchaguzi wa Tanzania.
Hii hapa ni picha iliyotolewa na mojawapo ya kutuo kikubwa cha habari nchini Ujerumani juu ya mustakabali wa viongozi wa vyama vya upinzani nchini kwetu.
Kama taifa tuna kitu cha kujifunza
Hii hapa ni picha iliyotolewa na mojawapo ya kutuo kikubwa cha habari nchini Ujerumani juu ya mustakabali wa viongozi wa vyama vya upinzani nchini kwetu.
Kama taifa tuna kitu cha kujifunza