Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,959
- 95,282
- Thread starter
- #41
Na ndiyo hao hao waliokubali kuja kwenye kuapishwa kwakeNOT, amesema ni kipindi chake cha mwisho ila ni wajinga tu watakaomuamini. Kwa mfano asipoimaliza miradi mikubwa unadhani atatoka? Na marafiki zake kina Kagame/ Museven ambao tangu enzi hizo "WAPO"