MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,992
- 10,497
Lingekuja kisomi tofauti na alivokuja pombeNyinyi ni wanafiki.Hivi Mkulu asingeanzisha hili jambo,nani mwingine kati yenu ambae hata angeliongelea?
Lingekuja kisomi tofauti na alivokuja pombeNyinyi ni wanafiki.Hivi Mkulu asingeanzisha hili jambo,nani mwingine kati yenu ambae hata angeliongelea?
Kushuka kwa thamani ya hisa kukiwa sustsined kwa muda mrefu kuna hasara kubwa. Maana yake ni kwamba hakuna confidence kwenye soko.Kwa taarifa yako.
Acacia wao hawaathiriki kivyovyote vile na kushuka kwa bei ya hisa zao.
Hata Barick ambaye ni shareholder mkubwa zaid nae haathirik Kwa kushuka huko kwa muda mfupi
Pombe alikuwepo mjengoni akipiga meza tena mikono miwili wakati wapinzani wanasusia miswada ya mliyoileta kwa hati ya dharula ili mfanikishe lengo lenu.Umesoma swali wewe mpiga disko? Narudia, CHADEMA mnasimamia nini? And get this into your twisted brain, you little twat, huna moral authority ya kuongelea unafiki because you symbolises every ill that confront this country. Miaka 8 mnaandamanisha watu, wengine wamekuwa vilema wakipinga ufisadi lakini leo mnajaza server kutetea ufisadi. Hamuoni aibu?
Mbona una mawazo hasi? Haya uliyoeleza ili tufanye nini sasa na yanamsaidia nani? Rais amesema tuzungumze na kitakachoonekana ni haki yetu wamekubali kulipa. Mambo usafiri was huyo boss wa Barrick yanatuhusu nini? Rais huyu siyo sawa na wale waliomtangulia. Soma Utube (kauli mzee Ruksa( rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi) kwamba rais JPM amefanya mambo makubwa katika mwaka moja kuliko wao wote watatu kwa miaka 30.
Kabisaaa maana hao wote watatu walikuwa hawawezi kuwachukia na kuwatesa wapinzani.....jamaa ndani ya mwaka mmoja kawachukia wapinzani kuliko awamu yyte ile.......hakuna zaid ya hapoMbona una mawazo hasi? Haya uliyoeleza ili tufanye nini sasa na yanamsaidia nani? Rais amesema tuzungumze na kitakachoonekana ni haki yetu wamekubali kulipa. Mambo usafiri was huyo boss wa Barrick yanatuhusu nini? Rais huyu siyo sawa na wale waliomtangulia. Soma Utube (kauli mzee Ruksa( rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi) kwamba rais JPM amefanya mambo makubwa katika mwaka moja kuliko wao wote watatu kwa miaka 30.
Sio mikono....wanasimamia tumbo wakiongozwa na kiongoz waoMiguu, nyie CCM si mnasimamia mikono huuku jaza ujazwe ikiwa wazi???