Pasco,
..Kigoma ndiyo mkoa wa kwanza kuchagua mbunge toka upinzani, Dr.Walid Amani Kaborou alipokuwa CDM.
..pia mkoa huo umeendeleza rekodi yake ya kuchagua wabunge wa upinzani ktk kila uchaguzi.
..kinachonishangaza ni kuona kwamba Kigoma hawaandamwi kwa kuikataa CCM, kama inavyotokea kwa mikoa ya Kilimanjaro na Arusha.
..kwanini hatusikii shutuma za "Wakigoma/Ukigoma" au "Umagharibi" bali tunasikia "Ukilimanjaro" na "Ukaskazini"??
NB:
..Pasco anatetea na kushabikia ubaguzi akidai kwamba ni "facts"!!
LOL ... Kigoma inatakiwa iwe ngome ya NCCR, japo wapiga debe la u-kanda wanashindwa namna ya kui-justify na hasa ukizingatia kwamba Mwenyekiti wa NCCR anatokea Kaskazini.