Mtazamo chanya: Ziara za Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo hazina tija

Idugunde

JF-Expert Member
May 21, 2020
6,273
6,637
Katibu mkuu wa chama tawala anapofanya ziara dhumuni kubwa huwa ni kwenda kukagua na kuhakikisha ilani ya chama chake kinachotawala inatekelezwa.

Lakini pamoja na ziara zake kugundua kuwa ilani ya chama chake inatekelezwa kwa kwa kusuasua huku kukiwa na malalamiko kero kibao kwa wananchi wa maeneo anayofanya ziara hakuna lolote la maana analowasaidia wananchi.

Kero za wananchi kila kona ni zile zile, uonevu wa vyombo vya dola, nidhamu ya watumishi wa umma kushuka, ufisadi, wananchi wanyonge kudhulumiwa.
 
Katibu mkuu wa chama tawala anapofanya ziara dhumuni kubwa huwa ni kwenda kukagua na kuhakikisha ilani ya chama chake kinachotawala inatekelezwa...
Hovyo sana huyu mtu.

Ukifuatilia kwa kina hizi ziara zake zinafukunyua jinsi gani CCM na viongozi inavyoumiza wananchi na kukwamisha maendeleo.

Kila aendako matatizo ni yaleyale hakuna utekelezwaji na hela zimeliwa. Yale yale pia ya Waziri Mkuu! Kila apitako Kuna ubadhirifu. CCM na viongozi hawa ni mchwa wa hili Taifa.
 
Katibu mkuu wa chama tawala anapofanya ziara dhumuni kubwa huwa ni kwenda kukagua na kuhakikisha ilani ya chama chake kinachotawala inatekelezwa.

Lakini pamoja na ziara zake kugundua kuwa ilani ya chama chake inatekelezwa kwa kwa kusuasua huku kukiwa na malalamiko kero kibao kwa wananchi wa marneo anayofanya ziara hakuna lolote la maana analowasaidia wananchi.

Kero za wananchi kila kona ni zile zile, uonevu wa vyombo vya dola, nidhamu ya watumishi wa umma kushuka, ufisadi, wananchi wanyonge kudhulumiwa.
Kwamba kero za wananchi hata kwa kukaatu pembeni unaziona haina haja ya kuedna site
 
Katibu mkuu wa chama tawala anapofanya ziara dhumuni kubwa huwa ni kwenda kukagua na kuhakikisha ilani ya chama chake kinachotawala inatekelezwa.

Lakini pamoja na ziara zake kugundua kuwa ilani ya chama chake inatekelezwa kwa kwa kusuasua huku kukiwa na malalamiko kero kibao kwa wananchi wa marneo anayofanya ziara hakuna lolote la maana analowasaidia wananchi.

Kero za wananchi kila kona ni zile zile, uonevu wa vyombo vya dola, nidhamu ya watumishi wa umma kushuka, ufisadi, wananchi wanyonge kudhulumiwa.
Hazina Tija Kwa nani? Kero haziwezi kuisha ila hakuna kipindi ilani imetekelezwa Kwa Ukubwa kama Sasa hivi.
Kero anazokutana nazo ni ndogo ndogo sana na zote ziko kwenye hatua kadhaa za utatuzi.
 
Katibu mkuu wa chama tawala anapofanya ziara dhumuni kubwa huwa ni kwenda kukagua na kuhakikisha ilani ya chama chake kinachotawala inatekelezwa.

Lakini pamoja na ziara zake kugundua kuwa ilani ya chama chake inatekelezwa kwa kwa kusuasua huku kukiwa na malalamiko kero kibao kwa wananchi wa marneo anayofanya ziara hakuna lolote la maana analowasaidia wananchi.

Kero za wananchi kila kona ni zile zile, uonevu wa vyombo vya dola, nidhamu ya watumishi wa umma kushuka, ufisadi, wananchi wanyonge kudhulumiwa.
Huo ndio ukweli. Anamaliza rasilimali muda na fedha kwa kuwa busy for nothing ili tu kujionyesha kwa bibi kuwa naye anahangaika. CCM ni janga la taifa namba moja.
 
Katibu mkuu wa chama tawala anapofanya ziara dhumuni kubwa huwa ni kwenda kukagua na kuhakikisha ilani ya chama chake kinachotawala inatekelezwa.

Lakini pamoja na ziara zake kugundua kuwa ilani ya chama chake inatekelezwa kwa kwa kusuasua huku kukiwa na malalamiko kero kibao kwa wananchi wa marneo anayofanya ziara hakuna lolote la maana analowasaidia wananchi.

Kero za wananchi kila kona ni zile zile, uonevu wa vyombo vya dola, nidhamu ya watumishi wa umma kushuka, ufisadi, wananchi wanyonge kudhulumiwa.
Naunga mkono hoja.
 
Alikuwa Katavi juzi,Wananchi wakamletea ndoo zikuwa na maji wanayokunywa,yaani maji yalikuwa yamejaa vidudu vinachezacheza na vyura wadogoyaani yeye mwenyewe Comredi Chongolo aliona aibu maana hata Ng'ombe wake hawezi kuwapa maji machafu vile wanywe
 
Katibu mkuu wa chama tawala anapofanya ziara dhumuni kubwa huwa ni kwenda kukagua na kuhakikisha ilani ya chama chake kinachotawala inatekelezwa.

Lakini pamoja na ziara zake kugundua kuwa ilani ya chama chake inatekelezwa kwa kwa kusuasua huku kukiwa na malalamiko kero kibao kwa wananchi wa marneo anayofanya ziara hakuna lolote la maana analowasaidia wananchi.

Kero za wananchi kila kona ni zile zile, uonevu wa vyombo vya dola, nidhamu ya watumishi wa umma kushuka, ufisadi, wananchi wanyonge kudhulumiwa.
Hapo anapiga ruzuku wala hana nia ya dhati
 
Hazina Tija Kwa nani? Kero haziwezi kuisha ila hakuna kipindi ilani imetekelezwa Kwa Ukubwa kama Sasa hivi.
Kero anazokutana nazo ni ndogo ndogo sana na zote ziko kwenye hatua kadhaa za utatuzi.
Uko serious?
kipindi cha Magu zile statisticious corruptions mlizokua mnazitoa kumaanisha hakuna kero mambo yamekamilika na Tanzania ni Donor country hadi kupeleka Misaada Msumbiji na Hata malawi huku wana Bukoba wakifa kwa tetemeko zilikua zina maana gani? Na je unajua maana ya neno kero? Mgawanyo wa kero kwa binadamu unaweza kuuainisha kwa maana ya kijamii, kiuchumi na kisiasa pamoja na zile mahususi za mtu mmoja mmoja?
Mathalani ukosefu wa elimu bora na sawia inayomsaidia kijana wa kitanzania kukabiliana na changamoto za kimaisha yeye binafsi na jamii inayomzunguka?

Kero ya ukosefu wa ajira kwa kundi kubwa la vijana wanaohitimu ngazi mbalimbali za elimu pamoja na kukosekana kwa fursa za uwekezaji wa ndani kwa wazawa na ukosekanaji wa mitaji unaochangiwa na masharti magumu ya mikopo kutoka kwa taasisi za kifedha.?

Kero za huduma duni za afya zinazochangiwa na ukosefu wa dawa, vifaa tiba pamoja na BIMA ya afya kwa kila mwananchi na hata zinazotolewa zina ukomo wa huduma zinazopatikana huku zile za binafsi zikiwa za gharama kubwa kiasi ya kwamba mwananchi wa kawaida hawezi kumudu?


Kero za upatikanaji wa maji safi na salama kwa wakati wote na kwa maeneo yote ya nchi katika miaka sitini ya uhuru, AU huna habari kwamba Chongolo alipokelewa ziarani kwake hivi karibuni na ndoo za maji machafu akiambiwa ayanywe?

Kero ya upatikanaji wa umeme wa uhakika huku nchi ikitegemea chanzo kimoja tu cha umeme yaani maji huku vingine vikitumiwa kwa asilimia ndogo mathalani upepo na gesi? Au hujui vijana wengi wamejiajiri kwenye shughuli ndogo ndogo zinazotegemea umeme mfano salon welding nk ?



Kero za usalama na rushwa nk ... mambo ni mengi tumia ubongo kufikiri
 
Back
Top Bottom