Mtatiro unapoteza muda CUF...karibu CHADEMA!

Mtatiro unapoteza muda CUF...karibu CHADEMA!

Ukisoma gazeti la Mtanzania ya leo limeelezea mambo mengi kuhusu Itatiro. Lakini kubwa zaidi ni hili la kutaka kuiendesha CUF kichadema zaidi. Mfano wanasema alishauri Lipumba asiende siku ya kuapishwa kikwete na hata alishauri CUF watoke nje siku ya kupitishwa mswada wa katiba. Hata mapendekezo ya kubadili mswada ambao umeshangiliwa sana na CUF yametoka kwake. Mnakumbuka msimamo wake hapa JF kuhusu mswada ulikuwa tofauti sana na msimamo waliouchukua CUF. Kwa hali hiyo namshauri ajiunge tu chadema. Na gazeti limeeleza kuwa alimwandikia Lipumba msg kusema kuwa CUF hakiwezi kumfikisha mahali anapotaka na Lipumba akampa Unaibu ili asiondoke. Namshauri asiendelee kukaa kwenye chama ambacho yeye mwenyewe hashabihiani na malengo na itikadi yake. Viongozi wa CUF wanamlalamikia kama pandikizi la chadema ndani ya CUF , si maneno yangu ila gazeti hilo


wewe ni ibange au mabange ?
 
Mtanzania ni gazeti lenye uwalakini hivyo hata habari zake haziaminiwi na wengi walio wanaharakati au wale wa mlengo wa kati
 
Jamaa naona anaingia kwenye siasa na mguu wa kushoto halafu anajifanya anawaponda Chadema kiaina
 
Ukisoma gazeti la Mtanzania ya leo limeelezea mambo mengi kuhusu Itatiro. Lakini kubwa zaidi ni hili la kutaka kuiendesha CUF kichadema zaidi. Mfano wanasema alishauri Lipumba asiende siku ya kuapishwa kikwete na hata alishauri CUF watoke nje siku ya kupitishwa mswada wa katiba. Hata mapendekezo ya kubadili mswada ambao umeshangiliwa sana na CUF yametoka kwake. Mnakumbuka msimamo wake hapa JF kuhusu mswada ulikuwa tofauti sana na msimamo waliouchukua CUF. Kwa hali hiyo namshauri ajiunge tu chadema. Na gazeti limeeleza kuwa alimwandikia Lipumba msg kusema kuwa CUF hakiwezi kumfikisha mahali anapotaka na Lipumba akampa Unaibu ili asiondoke. Namshauri asiendelee kukaa kwenye chama ambacho yeye mwenyewe hashabihiani na malengo na itikadi yake. Viongozi wa CUF wanamlalamikia kama pandikizi la chadema ndani ya CUF , si maneno yangu ila gazeti hilo

Kimsingi namkubali Julius Mtatiro sana na anaonekana kama ni aibu tu,ila hapaswi kuwepo kwenye hiki chama kinachokufa...karibu CDM JM....
 
Anatumiwa na CUF kuwashawishi wakristo wajiunge nacho
 
Wadau mbona mnapenda kuangalia mambo madogo madogo badala ya hoja iliyotolewa?

Lazima watu waangalie aliyetajwa hapo ITATIRO ni Balozi yupo Wizara ya Mambo ya Nje na ushirikiano wa Kimataifa
 
Ukisoma gazeti la Mtanzania ya leo limeelezea mambo mengi kuhusu Itatiro. Lakini kubwa zaidi ni hili la kutaka kuiendesha CUF kichadema zaidi. Mfano wanasema alishauri Lipumba asiende siku ya kuapishwa kikwete na hata alishauri CUF watoke nje siku ya kupitishwa mswada wa katiba. Hata mapendekezo ya kubadili mswada ambao umeshangiliwa sana na CUF yametoka kwake. Mnakumbuka msimamo wake hapa JF kuhusu mswada ulikuwa tofauti sana na msimamo waliouchukua CUF. Kwa hali hiyo namshauri ajiunge tu chadema. Na gazeti limeeleza kuwa alimwandikia Lipumba msg kusema kuwa CUF hakiwezi kumfikisha mahali anapotaka na Lipumba akampa Unaibu ili asiondoke. Namshauri asiendelee kukaa kwenye chama ambacho yeye mwenyewe hashabihiani na malengo na itikadi yake. Viongozi wa CUF wanamlalamikia kama pandikizi la chadema ndani ya CUF , si maneno yangu ila gazeti hilo
Mkuu habari za asubuhi mkuu hapo kwenye RED!umemaanisha au umeropoka kama siyo kupotoka???
 
Mtatiro Julius yuko njia panda. Kule CuF si kwake, hakuendani naye. Tangu enzi za harakati za DARUSO. Sikuwahi kudhani kuwa angeweza kujiunga CuF, sasa naamini anajutia maamuzi yake. Falsafa ya CUF ni sawa na ccm kwa sasa, Mtatiro niliyemuacha UDSM hawezi kuendana nayo.
 
Ukisoma gazeti la Mtanzania ya leo limeelezea mambo mengi kuhusu Itatiro. Lakini kubwa zaidi ni hili la kutaka kuiendesha CUF kichadema zaidi. Mfano wanasema alishauri Lipumba asiende siku ya kuapishwa kikwete na hata alishauri CUF watoke nje siku ya kupitishwa mswada wa katiba.

Hata mapendekezo ya kubadili mswada ambao umeshangiliwa sana na CUF yametoka kwake.

Mnakumbuka msimamo wake hapa JF kuhusu mswada ulikuwa tofauti sana na msimamo waliouchukua CUF. Kwa hali hiyo namshauri ajiunge tu chadema. Na gazeti limeeleza kuwa alimwandikia Lipumba msg kusema kuwa CUF hakiwezi kumfikisha mahali anapotaka na Lipumba akampa Unaibu ili asiondoke.

Namshauri asiendelee kukaa kwenye chama ambacho yeye mwenyewe hashabihiani na malengo na itikadi yake. Viongozi wa CUF wanamlalamikia kama pandikizi la chadema ndani ya CUF , si maneno yangu ila gazeti hilo

hivi kuna watu bado mnasoma mtanzania na rai??mi magazeti ya habari corp hata dimba na bingwa sisomi,gazeti langu la michezo ni mwanaspoti!
 
Anatumiwa na CUF kuwashawishi wakristo wajiunge nacho

kama ambavyo zuberi zitto na mzee said arfi makamu mwenyekiti wa chadema wanavyotumia na cdm kuwashawishi waislam wajiunge na cdm,na pia kama ambavyo ccm inamtumia mizengo pinda ili wakatoliki wajiunge zaidi na ccm au sio?

Hizi mimi ndio huziiita siasa za maji taka!haiweezekani watu wooooote wakawa chadema au watu wooooote wakawa cuf mam ccm,ili tuendelee tukubalu kutokubaliana.....
 
Back
Top Bottom