Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
wanyumbani kwa kauli yako naamini mtatiro atakuwa anahudumiwa ipasavyo.Wamepelekwa hospitali, Mungu ni mwema.
Off topic: umeadimika sana siku hizi
wanyumbani kwa kauli yako naamini mtatiro atakuwa anahudumiwa ipasavyo.Wamepelekwa hospitali, Mungu ni mwema.
Pole sn mwalimu mtatiro,ila siasa nzuri, unamiliki Toyota landcruiser!
Ohoo,kumbe jamaa ni ticha by profession?
Duh, sasa siasa imekua kimbilio kwa kila mtu,...walimu, madaktari, wachungaji, mainjinia, wafanyabiashara,.etc...
lakini wote hawa hamna wanacho kifanya kwa nchi yetu zaidi ya kuchumia matumbo yao na watoto wao,...
mbona hueleweki sasa? mara ni ngumu kumtoa mtu akiwa hai katika hilo gari lilopata ajali mara Mungu awape afya njema vipi tena?
wewe ni ni mtu mpuuzi usiyejua kwanini nilisema niliyosema........... whatever happended disturbed usMkuu MTM, Kwa taarifa ya bibikuku ambayo ameitoa kwa uhakika, ajali imetokea saa11, wanafamilia hao waliosoma thread hii na kuhamaki hawana mawasiliano ya karibu na ndugu yao. Kama hali ya Mtatiro ni nzuri kama ilivyoripotiwa lazima atakuwa ametoa taarifa kwa baadhi ya ndugu. Anyways tunashukuru na zaidi Namshukuru Mungu my Coursemate is doing ok. GET WELL SOON BRO.
it is always easy kama wewe si mwanafamilia,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, hujakutwa wewe ndio maana uko na nadharia hivyo<br />
<br />
Kama wanafamilia wamesoma thats gud, wamtafute Mtatiro hewani, kama hapatikani wajue kuna lililomsibu, na kwa kuwa wewe ni mtu wa karibu na familia tujuze juhudi hizo za kutafuta uthibitisho wa taarifa hii.
<br />labda ni wa mkoa wa MARA,
<br />wewe ni ni mtu mpuuzi usiyejua kwanini nilisema niliyosema........... whatever happended disturbed us<br />
<br />
u jusy missed my poitn
<br />MTN, nadhani kaelezea vizuri hamna tatizo lolote!<br />
Apta Kayla na MTN, hamna haja ya kuminyana wakuu, tuowambee waliopata ajali wapate nafuu