Mtatiro Julius apata ajali mbaya Morogoro

Mtatiro Julius apata ajali mbaya Morogoro

Kama hii nayo ni tetesi jamani mtakuwa mnau hii blogu sijui webu.
 
Nashindwa kupata akili chanya..................
 
Ukweli ni kwamba, Mtatiro kapata ajali umbali wa kilomita 15 kabla ya kuingia mjini Morogoro wakati akitokea Igunga na ajali imetokea saa 11 unusu. Hata hivyo Mtatiro yuko salama na amepata majeraha kidogo. Huu ndio Ukweli wa tukio hilo wakubwa!
 
Pole Mtatiro na wote mlioumia kwenye ajali hiyo. Mungu awajaalie mpone haraka na kurejea katika shughyuli zenu. Watzanzania bado tunawahitaji muendelee kututumikia
 
Jamani jamani jamani... Watu sio namba<br />
<br />
wanafamilia wamesoma hili bandiko na sasa hali si shwari.... Hivi marmoboy anajua hiki?
<br />
<br />
Kama wanafamilia wamesoma thats gud, wamtafute Mtatiro hewani, kama hapatikani wajue kuna lililomsibu, na kwa kuwa wewe ni mtu wa karibu na familia tujuze juhudi hizo za kutafuta uthibitisho wa taarifa hii.
 
Ukweli ni kwamba, Mtatiro kapata ajali umbali wa kilomita 15 kabla ya kuingia mjini Morogoro wakati akitokea Igunga na ajali imetokea saa 11 unusu. Hata hivyo Mtatiro yuko salama na amepata majeraha kidogo. Huu ndio Ukweli wa tukio hilo wakubwa!
asante kwa taarifa hizi
 
dah!!! pole san mtatiro........pole sana kiongozi......
 
Mkuu MTM, Kwa taarifa ya bibikuku ambayo ameitoa kwa uhakika, ajali imetokea saa11, wanafamilia hao waliosoma thread hii na kuhamaki hawana mawasiliano ya karibu na ndugu yao. Kama hali ya Mtatiro ni nzuri kama ilivyoripotiwa lazima atakuwa ametoa taarifa kwa baadhi ya ndugu. Anyways tunashukuru na zaidi Namshukuru Mungu my Coursemate is doing ok. GET WELL SOON BRO.
 
Ukweli ni kwamba, Mtatiro kapata ajali umbali wa kilomita 15 kabla ya kuingia mjini Morogoro wakati akitokea Igunga na ajali imetokea saa 11 unusu. Hata hivyo Mtatiro yuko salama na amepata majeraha kidogo. Huu ndio Ukweli wa tukio hilo wakubwa!
Thanks kwa taarifa mkuu, huyo mleta mada ka hypo hii habari...nakuogopesha watu
 
NYONGEZA: Gari alilokuwamo limeharibika vibaya kama mtoa thread hii alivyoeleza ingawa kidoooogooooo alifanya watu wapate mstuko mkubwa kwa kusema huenda watu waliokuwamo garini wasitoke hai. Mwenyezi Mungu kawanusuru walau hadi wakati huu. Tuendeleeni na majukumu yetu wakubwa
 
Mungu awape nafuu ya haraka........! Pole sana Comrades!

 
Back
Top Bottom