TeamLowassa
JF-Expert Member
- Nov 30, 2013
- 1,495
- 936
Mimi simjui jina lake but hope anaitwa michael
Anazaungumzia uchumi kipindi cha mwalimu
Anasema sasa hivi mtu ukiwa na miaka 35 huna hata kitanda, wakati wa mwalimu miaka 22 ni mtu anajitegemea
Viongozi wetu wamekosa maarifa hawana uweledi!
Kipindi cha mwalimu kulikuwa na mabasi ya maghorofa
Sasa hv wasomi ni wabaya kuliko wasiosoma, wasomi wanawaibia wasiosoma!
Kipindi cha mwalimu hakuna kubanana kwenye daladala
Mwalimu alikuwa anataka tujitegemee kwanza, kabla hatukuweza kufanya hilo tunaanza kuzalisha matajiri
Tumeacha misingi yetu ya kitaifa. Huwezi kuuza viwanda halafu ukawa salama
Mwalimu alikuwa na madkatari bingwa wanne tu mmoja kijana alifariki akabakiwa na watatu. Leo wapo maelfu kwa maelfu kwa maelfu lakini wagonjwa wanalala chini
Mwalimu alikuwa na mainjinia 12 hakuna mwanafunzi aliekaa chini, leo wapo mainjia maelfu lakini wanafunzi wanakaa chini
Leo viongozi wananunua gari moja milioni 250 ambayo inatosha hospitali ya mwananyamala, lakini wao wanatembelea
Mwalimu alifanya Tanzania kama chuo cha marais wote. Marais zaidi ya 12 walikimbilia tanzania. Leo rais gani anakimbilia hapa
Mwalimu alisema tusichimbe madini kwanza hadi watoto wetu wapate elimu. Leo wamesomeshwa wanaiba kila kitu
Nenda kapige kura kwa jazba kwa hasira kubwa, kwa morali kama ya kimasai..
Anazaungumzia uchumi kipindi cha mwalimu
Anasema sasa hivi mtu ukiwa na miaka 35 huna hata kitanda, wakati wa mwalimu miaka 22 ni mtu anajitegemea
Viongozi wetu wamekosa maarifa hawana uweledi!
Kipindi cha mwalimu kulikuwa na mabasi ya maghorofa
Sasa hv wasomi ni wabaya kuliko wasiosoma, wasomi wanawaibia wasiosoma!
Kipindi cha mwalimu hakuna kubanana kwenye daladala
Mwalimu alikuwa anataka tujitegemee kwanza, kabla hatukuweza kufanya hilo tunaanza kuzalisha matajiri
Tumeacha misingi yetu ya kitaifa. Huwezi kuuza viwanda halafu ukawa salama
Mwalimu alikuwa na madkatari bingwa wanne tu mmoja kijana alifariki akabakiwa na watatu. Leo wapo maelfu kwa maelfu kwa maelfu lakini wagonjwa wanalala chini
Mwalimu alikuwa na mainjinia 12 hakuna mwanafunzi aliekaa chini, leo wapo mainjia maelfu lakini wanafunzi wanakaa chini
Leo viongozi wananunua gari moja milioni 250 ambayo inatosha hospitali ya mwananyamala, lakini wao wanatembelea
Mwalimu alifanya Tanzania kama chuo cha marais wote. Marais zaidi ya 12 walikimbilia tanzania. Leo rais gani anakimbilia hapa
Mwalimu alisema tusichimbe madini kwanza hadi watoto wetu wapate elimu. Leo wamesomeshwa wanaiba kila kitu
Nenda kapige kura kwa jazba kwa hasira kubwa, kwa morali kama ya kimasai..