Tetesi: Mtanzania Mbaroni Kwa kuiibia Serikali ya Marekani Bilioni 8!

Huo utaratibu hata huku kwetu haufai siku hizi

wale wafanyabiashara wa mafuta, sukari, chumvi ambao wamekuwa kama wachina wakiwa na viwanda vidogo vidogo ndani wakitengeneza mifuko bandia za kampuni mbali mbali za sukari kama Kagera na mtibwa sugar wenyewe wanasoma namba ndani

Mfuko wa sukari kilo 50 unakuta kilo 45, na 25 Kgs unakuta 23Kgs

Mafuta lita 20 utakuta lita 17.
Ngano kg 25 unakuta kg 21
 
Wao kutwa wanatuibia kwa kulaghai viongozi wetu na kuwaua/kuwahujumu wanaokataa matakwa yao. Hebu wamuache huto tu bil 2 tu. Ila na sisi watz ni 'waizi' tunasema wabatu wenzetu wachaga wakati sote ni tabia yetu ya udokozi.
 
Kumbe nao wanaibiwa kwa kughushi!
Huu mchezo wa mambo ya afya Marekani wizi ni mwingi kuna wengine wanatengeneza ajali za uongo na kweli ili kufoji matiabau ya bima za uongo ila mara nyingi uwa wanakamatwa na ni jera hawana mchezo kwenye masuala ya BIMA na kuibia kwa njia ya health care
 
JohnNdungurumedicaidbillingarrest1.jpg



MTANZANIA JOHN NDUNGURU, anayemiliki kampuni ya Mercy Services of Heath inayojishughulisha na kazi ya kuhudumia wagonjwa majumbani (Home Health Care) nchini Marekani, ametiwa mbaroni nchini humo na kufunguliwa mashitaka 12 ya kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu.


Kwa mujibu wa mtandao wa NBCWASHINGTON.COM, ulioandika habari hiyo Desemba 3 mwaka huu, Ndunguru anadaiwa kujipatia kiasi cha dola za Marekani milioni 3.6 (T.shs Bilioni 8) baada ya kuandika nyaraka za madai ya uongo akionesha kuidai serikali ya jimbo la Virginia kiasi hicho akionesha kampuni yake kuhudumia wagonjwa wapatao 59.


Tukio hilo limetokea wakati Jimbo la Virginia linajitayarisha kupanua mpango wa msaada wa tiba na hati za mahakama zinaonyesha kwamba idara inayoshughulikia huduma za tiba tayari imelipa Dola mil. 3.6 kwa kampuni ya Ndunguru.


Trina Greene, ambaye ni meneja katika kampuni hiyo, alisema wafanyakazi walishtushwa na habari hizo, lakini bado wako bega kwa bega na mkuu wao ambaye humwita Dr. John.

Green na wafanyakazi wengine walianza kuhisi dadlili za matatizo wiki iliyopita wakati ofisi yao ilipovamiwa na wapelelezi kutoka ofisi ya mwanasheria mkuu ambapo kompyuta 10 zilichukuliwa pamoja na masanduku 33 ya hati mbalimbali.


Hati za mahakama zinadai kwamba kulikuwa na saini ya daktari mmoja iliyoghushiwa na rekodi za watu kadhaa waliopata huduma hapo hazionekani zilipo.


Kampuni hiyo hutoa huduma kwa watu wapatao 90 na imeajiri wafanyakazi wapatao 100.


Ndunguru yuko rumande nchini Marekani baada ya kukosa dhamana.
alivyopiga hiyo pesa angerudi zake bongo ajifiche
 
Huu mchezo wa mambo ya afya Marekani wizi ni mwingi kuna wengine wanatengeneza ajali za uongo na kweli ili kufoji matiabau ya bima za uongo ila mara nyingi uwa wanakamatwa na ni jera hawana mchezo kwenye masuala ya BIMA na kuibia kwa njia ya health care

Tatizo nchi za wenzetu utawapiga cha juu weee, lakini at the end of the day watakudabua tu!
 
JohnNdungurumedicaidbillingarrest1.jpg



MTANZANIA JOHN NDUNGURU, anayemiliki kampuni ya Mercy Services of Heath inayojishughulisha na kazi ya kuhudumia wagonjwa majumbani (Home Health Care) nchini Marekani, ametiwa mbaroni nchini humo na kufunguliwa mashitaka 12 ya kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu.


Kwa mujibu wa mtandao wa NBCWASHINGTON.COM, ulioandika habari hiyo Desemba 3 mwaka huu, Ndunguru anadaiwa kujipatia kiasi cha dola za Marekani milioni 3.6 (T.shs Bilioni 8) baada ya kuandika nyaraka za madai ya uongo akionesha kuidai serikali ya jimbo la Virginia kiasi hicho akionesha kampuni yake kuhudumia wagonjwa wapatao 59.


Tukio hilo limetokea wakati Jimbo la Virginia linajitayarisha kupanua mpango wa msaada wa tiba na hati za mahakama zinaonyesha kwamba idara inayoshughulikia huduma za tiba tayari imelipa Dola mil. 3.6 kwa kampuni ya Ndunguru.


Trina Greene, ambaye ni meneja katika kampuni hiyo, alisema wafanyakazi walishtushwa na habari hizo, lakini bado wako bega kwa bega na mkuu wao ambaye humwita Dr. John.

Green na wafanyakazi wengine walianza kuhisi dadlili za matatizo wiki iliyopita wakati ofisi yao ilipovamiwa na wapelelezi kutoka ofisi ya mwanasheria mkuu ambapo kompyuta 10 zilichukuliwa pamoja na masanduku 33 ya hati mbalimbali.


Hati za mahakama zinadai kwamba kulikuwa na saini ya daktari mmoja iliyoghushiwa na rekodi za watu kadhaa waliopata huduma hapo hazionekani zilipo.


Kampuni hiyo hutoa huduma kwa watu wapatao 90 na imeajiri wafanyakazi wapatao 100.


Ndunguru yuko rumande nchini Marekani baada ya kukosa dhamana.
Mwachache aozee jela,alipenda mwenyewe kufanya uhalifu,na acha anyongwe," in Magufuli's voice".
 
karibia na mitaa ya De mag Hotel.
Nishapapata ni opposite na mzee kilaba
Njia kama unakwenda buibui uwanjani Karibia na dem mug...
Ok .....ndomana ujenzi ulikuwa unakwenda kwa kasi asubuhi na usiku sahv kama wamesimama vile ....
Ngj ntafanya uchangzi zaidi
Nikiwa kwenye vikao Vyangu hpo uwanjani pembeni na dem mug

Ova
 
Nishapapata ni opposite na mzee kilaba
Njia kama unakwenda buibui uwanjani Karibia na dem mug...
Ok .....ndomana ujenzi ulikuwa unakwenda kwa kasi asubuhi na usiku sahv kama wamesimama vile ....
Ngj ntafanya uchangzi zaidi
Nikiwa kwenye vikao Vyangu hpo uwanjani pembeni na dem mug

Ova
Uko sahihi, jamaa kanuna na nyumba nyingine maeneo ya pale pale. Tuishie hapa mkuu, isijeonekana tunachimba sana. Haha.
 
Uko sahihi, jamaa kanuna na nyumba nyingine maeneo ya pale pale. Tuishie hapa mkuu, isijeonekana tunachimba sana. Haha.
Sema kama ndy huyo f@l@ alikuwa na nyodo sana ....ila ngja nithibitishe kuthibitisha ni dk 4 tu

Ova
 
Sema kama ndy huyo f@l@ alikuwa na nyodo sana ....ila ngja nithibitishe kuthibitisha ni dk 4 tu

Ova
Thibitisha kwanza mkuu, isijekua tunamuonea huyo ndugu. Ila kwa taarifa za mdau hapa jamvini, anasema anandugu yake ni mwanasheria yupo dar. Huyo jamaa nae ni mwanasheria na majina ya mwisho yanafanana.
 
Back
Top Bottom