Tetesi: Mtanzania Mbaroni Kwa kuiibia Serikali ya Marekani Bilioni 8!

Ndio ila tambua hakuna gereza zuri duniani, alaf unajua kutokana na sheria za huko watamdeport yaani watamrejesha Tz, mm mwenyewe nishawahi kufungwa nchi flan ulaya, miezi 9 tu, but niliisoma namba, wanakilakitu ndani ya gereza, yaani una room yako fresh ndani mna kila kitu kama TV, RADIO, ukitaka unafanya kazi humohumo gerezani wanakulipa kila week kama laki 1 ya Tz, au ukitaka unajiunga na education ukitoka gerezani una certificates zako, ukitaka unacheza mpira wa miguu au basketball, Milo miwili asubuhi na jioni, matibabu kama kawa. Sema kwanza inategemea na nchi, pili ndani ya hio nchi kunategemea na gereza, huku nilioko mm kuna madaraja ya gereza, kwa mfano daraja A) hizo ni gereza mbaya sana kama wauwaji, yaani watu hatari sana, au wenyevifungo vya maisha. Daraja B) ni watu kama wa madawa au wahuni sana kama waliopigana au waliodhuru watu, hili daraja sio zuri pia kama ni mnyonge sana, but ni tofauti sana na A yaani B ni afadhali, daraja C) ni aina ya gereza zuri kidogo, na hii kwa mfano wamekufunga kipindi kirefu B kama miaka 7 au 8 so imebakia miaka miwili kuisha kifungo chako watakuhamisha na kukupeleka C ambako kuna Uhuru zaidi na ni afadhali, daraja D) hili unakua unaachiwa baadhi ya siku kwenda nyumbani kuonana na family na baahi ya siku unarudi kulala gerzani, yaani d ni nusu ya uhuru. Mm nilipekwa C coz kesi yangu ilikua laini sana yaani kiufupi sikua na kosa na baada ya kunifunga walibaini baadae sikua na kosa wakanilipa hela kama Million 4 na nusu za Tz kwa kunieka ndani miezi 9, pia humo humo gerezani nilikua asubuhi naenda kazini wakati jioni naingia education na nilipata certificate na usiku kama SAA 1 naingia Gim baadhi ya siku, sema kuna wazungu kila mda wanawaza kupigana, but yote juu ya yote binaadamu kuwa huru ni muhim sana.
 
Ndio ila tambua hakuna gereza zuri duniani, alaf unajua kutokana na sheria za huko watamdeport yaani watamrejesha Tz, mm mwenyewe nishawahi kufungwa nchi flan ulaya, miezi 9 tu, but niliisoma namba, wanakilakitu ndani ya gereza, yaani una room yako fresh ndani mna kila kitu kama TV, RADIO, ukitaka unafanya kazi humohumo gerezani wanakulipa kila week kama laki 1 ya Tz, au ukitaka unajiunga na education ukitoka gerezani una certificates zako, ukitaka unacheza mpira wa miguu au basketball, Milo miwili asubuhi na jioni, matibabu kama kawa. Sema kwanza inategemea na nchi, pili ndani ya hio nchi kunategemea na gereza, huku nilioko mm kuna madaraja ya gereza, kwa mfano daraja A) hizo ni gereza mbaya sana kama wauwaji, yaani watu hatari sana, au wenyevifungo vya maisha. Daraja B) ni watu kama wa madawa au wahuni sana kama waliopigana au waliodhuru watu, hili daraja sio zuri pia kama ni mnyonge sana, but ni tofauti sana na A yaani B ni afadhali, daraja C) ni aina ya gereza zuri kidogo, na hii kwa mfano wamekufunga kipindi kirefu B kama miaka 7 au 8 so imebakia miaka miwili kuisha kifungo chako watakuhamisha na kukupeleka C ambako kuna Uhuru zaidi na ni afadhali, daraja D) hili unakua unaachiwa baadhi ya siku kwenda nyumbani kuonana na family na baahi ya siku unarudi kulala gerzani, yaani d ni nusu ya uhuru. Mm nilipekwa C coz kesi yangu ilikua laini sana yaani kiufupi sikua na kosa na baada ya kunifunga walibaini baadae sikua na kosa wakanilipa hela kama Million 4 na nusu za Tz kwa kunieka ndani miezi 9, pia humo humo gerezani nilikua asubuhi naenda kazini wakati jioni naingia education na nilipata certificate na usiku kama SAA 1 naingia Gim baadhi ya siku, sema kuna wazungu kila mda wanawaza kupigana, but yote juu ya yote binaadamu kuwa huru ni muhim sana.
Unaonekana mpambanaji sana
 
Huo utaratibu hata huku kwetu haufai siku hizi

wale wafanyabiashara wa mafuta, sukari, chumvi ambao wamekuwa kama wachina wakiwa na viwanda vidogo vidogo ndani wakitengeneza mifuko bandia za kampuni mbali mbali za sukari kama Kagera na mtibwa sugar wenyewe wanasoma namba ndani

Mfuko wa sukari kilo 50 unakuta kilo 45, na 25 Kgs unakuta 23Kgs

Mafuta lita 20 utakuta lita 17.
Duh
 
Back
Top Bottom