Dr Shekilango
Senior Member
- Dec 30, 2013
- 192
- 120
Nina maashaka na watu wanaojiita CHADEMA ushauri huu una maana kwa sisi sote na taifa kwa ujumla mimi siyo mwanachama wa CHADEMA ila mimi ni mwanachama wa NCCR - MAGEUZI ila nakiunga mkono CHADEMA na uchaguzi mkuu nitakuwa kijijini kwa ajiri ya CHADEMA ila nashangaa ndugu zangu baada ya mtu kukosoa kitu kwa hoja ili kuleta utengamano na umoja kwa chama anatoa mitusi na kuwatukana watu, walitoa ushauri ni wasomi na hata kama ni hisia zao lakini ebu tuwe na adabu kidogo maana humu ndani kuna wasomi na wanaheshima zao sasa vijana wetu kwa nini mnakosa hekima na uvumilivu yawezekana wanaotukana si CHADEMA ila ni watu wanalipwa kuchafua taswira ya chama tuwe makini wafuasi wa CHADEMA tunakitegemea chama kuwa ni tumaini kwa sote mimi binafsi bado nawamaindi sana