Mtanzania: CHADEMA yajichulia kifo

Mtanzania: CHADEMA yajichulia kifo

Jamani kwa fununu zilizopo saizi gazeti la Rai na mtanzania ni Mali ya lowasa hilo liko wazi
 
Acha kuweweseka wewe. Chadema ni magaidi, wauwaji
Acha ujinga uende mbingun, kaulize mwigulu baada ya kuzungumzia ufisad Wa kutisha Wa srkl ya ccm, kupanda kwa deni la taifa kwa kpnd chote cha awamu hii, kupanda kwa GDP lkn umaskin ukiongezaka, kukosekana kwa pembejeo kwa wakulima kwa wkt, mgao Wa umeme kila mwaka, elimu isiyo name dira wala mwelekeo, zungumzia hayo watu wakuone una akil....!!!! magaid ni wale waliotumwa na srkl chakavu ya ccm kweny operation ya ujangli
 
Mkuu Feedback umemsahau mbakaji wa vitoto vidogo Prof Kapuya!! Wauza unga kina Mchimbi,Kinje, Mwigulu na Ritz one, kwa taarifa hawatakiwi USA ,ni banned!!
MaCCM bwana mpaka hawatakiwi
USA. Alikokwenda Mchemba hawamtaki tena wanasema ni GAIDI ameuwa watu wengi!!
Ushahidi. USA Embassy!!
 
Last edited by a moderator:
unategemea nini kutoka kwa gazeti linalomilikiwa na rostam....hili gazeti limepoteza dira now dayz ni kama gazeti la udaku linaandika story za kusadikika na lengo lake ni kumbeba lowasa raia tushalistukia mapema

Lakini siyo mawazo ama mtazamo wa gazeti bali limewahoji wasomi na watu mbalimbali
 
Nilijua tu, ukiwa na mawazo tofauti unapewa majina mabaya.

Unaongea pumba tu unafikir chadema ni kama maccm? Mnaiba sn au hamlion hilo? Chadema imefanya maamuz magumu km mnaweza na ninyi fanyen hvv, mafisad wakubwa nyie hamna hata haya, mnashindwa akili hata na Mmbwa mwitu, akila nyama anaenda kujiburuza chin ili wenzake wasimshtukie, ccm inakula kweupe hamna hata aibu, mnaiba kweupe tembo zt na twiga!! Mtaongea sn kuhusu chadema kila cku kitakuwa juu.
 
Ni maramia kiingie dhaifu ktk uchaguzi kuliko kuingia na mamluki wengi wanaofanya biashara ya kuuza majimbo hafu ukadhan utshinda kwa kua mamluki wengi, hata hao wasomi uliowataja nao pia wanaweza wakawa pia ni mamluki kwa hiyo usishangae sna kuteteana.kingine hata ccm wasijione wako salama sana kwani wao wanalea tatizo la watu kutangaza nia kabla ya mda sasa uko mbele kitakacho kuja tokea nadhan ni mfarakano mkubwa sana ambao hata huu wa cdm utaonekana mdogo.
 
Kwa hiyo unataka Zitto aachwe na u ch a ngu doa wake? Hebu kapike watoto wana njaa.
 
Hawa "wasomi" waliyasema wapi haya au ni gazeti limesema??
Wasomi. Mmmh!!!
 
gazeti la Mtanzania said:
Marando amesikika ndani ya Kamati Kuu ya chama hicho akisema kuwa, anaona mwelekeo ule ule wa NCCR-Mageuzi kuipata Chadema.
Horse manure! Mabere Nyaucho Marando hawezi kuongea, acha kufikiria, upuuzi kama huu...any right thinking individual with common sense ought to know this by now. Trouble is, common aint that common!
 
1.jpg


WANATAKA KUTONGANA MANGUMI HAPA

KUTONGANA ndio kiswahili gani? Tukisema ccm ni janga mnamaliza form 4 hata kuandika kiswahili kizuri mnashindwa kisa shule hazina facilities za kutosha
 
Mkuu,
Kuifananisha CDM na CCM ni sawa na kuifananisha NURU na GIZA!Yaaani hawa tuliowapa nchi na wakaishia kuiba,kubaka,kuuza tembo,kupiga dili,kuuza "sembe",kuuza bange uwafananishe na CHADEMA?

You must be out of your mind!!!

Sawa sikatai usemayo je una uhakika kua pia Chadema ni salamaaa,ni kweli hata CCM wameongoza muda mrefu nao wawaachie wengine
Lakin ni chama kipi kinafaaa???????:banghead::banghead::banghead:
 
Sio nonesence ni nonesense bwana mzee. Jifunze kuandika lugha uliyoizoea


hahahaaaaaa jaribu nawe kuchangia lenye manufaa, hizo typing error ndogo ndogo hata kwenye kuandika lugha yetu huwa wkt mwingine tunakosea.
 
Tusipoteze muda kuendelea kujadili watu wasiotaka kubadilika,mwanzo nilijua ni ccm tu isiyo sikivu na inayopuuza mawazo mazuri ya wasomi ma watanzania wenye nia njema,lkn Chadema ni tatizo zaidi yaani hawapo tayari kukosolewa hata kama ukiwaambia bendera yao ina rangi nyekundu na bluu wakiamua kukataa watakataa. tuwaache na mawazo yao ya kihafidhina, tuwasubiri kwenye uchaguzi huenda wataelewa kwa vitendo kuliko maneno.
 
Jamani mbona CCM imekufa siku nyingi? imebaki kwa ajili ya Uchaguzi tu! CDM iko imara100 times kuliko magamba!
 
Hao wanaojiita wasomi wala siyo wapiga KURA bali walalamikaji baada ya wasiosoma kwenda kupiga KURA na Chama Tawala kuibuka mshindi.Hakuna maana yoyote kujiita msomi halafu unashabikia vyama vya upinzani kufa.Wasomi wenyewe ndiyo hao wanaouza Maliasili zetu,Madini,gas na ardhi yetu.
 
Mungu anatupenda sana watanzania,yaani makosa ambayo tulitaka kifanya 2010 kwa kuwaamini chui waliojivika ngozi ya kondoo ,tungelia na kusaga meno,magereza yangekuwa yamejaa wafungwa wa kisiasa,wanaharakati wangeuawa kama nzige,hakuna ambae angethubutu kukosoa serikali yao,wasingetoka tena madarakani na muda huu Mushumbusi angekuwa waziri wa fedha,Mukya angekuwa nishati na madini, Kileo angekuwa Nishati na madini,Saanane angekuwa mambo ya nje,Mbowe waziri mkuu. na Mtei angerudi kuwa gavana wa Benki kuu.
Eeeh mungu tukulipe nini kwa kutuepusha na hiki kikombe? watanzania tukeshe makanisani na Miskitini tukimshukuru mungu kwa kutuepusha na janga hili,wenye chadema jaribuni tena huenda 2015 mkapata ili mtimize malengo yenu.
 
Back
Top Bottom