Mtanzania: CHADEMA yajichulia kifo

Mtanzania: CHADEMA yajichulia kifo

Mapadri,Maaskofu na Mashehe wanasema Chama kinakufa, bado mnabisha

Wasomi, Maprofesa Wanasema Chama kinakufa, Bado mnabisha.

Wassira alikwisha waambia mkabeza, mkakebehi sasa kiko wapi?

Ahsante Wassira ulimaliza kazi yako ya kuwaeleza na ukweli tumeuona.

unawasema wanaopitiwa na lowasa kila siku anaowahongaga pesa?
 
Nashukuru kusikia kuwa Kushinda Uchaguzi mkuu wa 2015 siyo lengo lenu kuu! Kila mmoja anajua CDM hawawezi kushinda uchaguzi mkuu ujao na hakika Kama umesoma vizuri andiko la mtanzania ni la kisomi kabisa! Good analysis na kwa hakika watu waliohojiwa ni wa Kuaminika kabisa!

Prof Maina ni mtu mwenye heshima kubwa katika Sayansi ya Siasa na ni Mwalimu Mzuri sana! Ni msema ukweli na daima ni mwelevu sana! Kamtahadharisha Mzee Ayatollah Mtei kwa kitendo alichokifanya lakini huyo Mzee anazeeka vibaya sana! Anakauli tata sana mmoja wapo ni ile ya Tume ya Katiba ati Waislam wengi kwenye tume wakati tulikuwa tunatoa 50/50 Bara na Visiwani! Hii kauli ilikuwa mbaya sana kwa waislam na kuanzia hapo waislam waliowengi walikaa kitako kulijadili hili na kutolea maamuzi!

Mzee Mtei anakidhoofisha sana CDM tena kwa nguvu zote! Akae kimya kwani hawezi kujua Tanzania bila kuungwa mkono na Waislam huwezi kushinda kamwe! Ni kundi kubwa lenye nguvu na ari ya kupiga kura kuliko kundi Hilo analolishabikia!
 
hao watabiri feki wasitusumbue humu,kila siku wanasogeza muda wa kifo cha CDM mbele,mara ooh,itakufa mwaka 2013,mara 2014.Wanaoombea kifo kiwafike wengine,ni ishara ya kugota kwa akili zao na wanaishia kuibuka na fikra mfu


Viva chadema viva
 
Nakubaliana na wewe lakini mpaka sasa sijaona chama chenye uchungu.
wote ni wale wale tuu. bora mgombea binafsi ipitishwe.

Kupayuka kila wakati kwamba CHADEMA=CCM mnajidanganya waTz wanajua tofauti. TUSUBIRI TUONE.
 
Back
Top Bottom