Mtanzania apora Sh. bilioni 400 za Aga Khan

Mtanzania apora Sh. bilioni 400 za Aga Khan

Tusichanganye madesa, hapa uelewa wangu uko hivi:
Huyu jamaa alikuwa anatumia alias name, hilo Remtullah linaweza lisiwe jina lake lakini ndio lililosajiriwa benki zote na account za nje. Hapo Agha Khan wanadai hawajui hilo jina wala cheo chake ila ndio alikuwa anafanya transactions.

Benki ilimhoji kwa kutilia shaka mihamala mikubwa anayofanya mara kadhaa, ni sehemu ya taratibu za kibenki. Benki haikuwa na mamlaka ya kumkamata wala kumshikiria kwenye mahojiano kwa vile hakuwa wanted na sio kazi ya benki kukamata mtu yeyote anayetoa hela nyingi. Hakuwa anatafutwa wala Agha Khan haikureport upotevu wa fedha sasa mnaanzaje kulaumu benki.

Alikwenda na hakurudi kwa kujishtukia kisha ndio taarifa za kupotea fedha zimetolewa. Kwanza sijaona wapi Agha Khan wameclaim kuibiwa hela. It seems wenyewe hawajui au hawahitaji kuhusika na hizo fedha. Anayesema Agha Khan wameibiwa ni FBI na mabenki, AK wakiulizwa wanasema mabosi wako likizo ya corona, mwanasheria wao anasifia taasisi. They are cool, they don't give a fvk

Kwa nilivoelewa alikuwa anazipokea kwa jina la aghakan,sasa aghakan hawana uelewa ndio maana imekaa kitambo bila kustukiwa ila wamarekani walistuka baada ya kuona haziwafikii walengwa,na bank ilivomuhoju hakurudi
 
Darasa la kisasa lenye samani zake linaweza kugharimu kiasi gani cha fedha ndugu mwandishi!!!?

Samahani kwa kuchafua hewa lakini!
 
Shilingi bilioni 400 zakombwa Benki ya Barclays na Mtanzania ambaye bado hajakamatwa. Ni wizi ulioshirikisha watu wengi wakiwamo watendaji wa benki.
Umezidisha neno moja Chifu!
 
Kama ile ya Leonardo de Caprio true story ya jamaa aliyekuwa akichonhesha cheque feki za benki, tamu balaa
Vp.wolf of wall street au

Ova
MOVIE inaitwa
Catch me if you Can

ila kabla hujaisaka hiyo MOVIE msome hapa Frank W.A: Mhalifu tapeli mwenye akili aliyesumbua dunia na mwishowe kuja kuajiriwa na FBI
toka kwenye uzi wa GuDume
kamchambua nje ndani
sasa ukishamsoma hapoo halafu ukienda kuicheck hiyo MOVIE utaenjoy Vilivyo jinsi jamaa alivyokuwa anakura bata na vimwana kabla wazee wa kazi FBI hawajamdandia
lkn wenyewe FBI walisalenda walimpa mkataba anafanya kazi nao mpk kesho
 
Tumemiss sana habari za kiuchunguzi, Nimelikumbuka sana Mwanahalisi ehh mungu baba shusha mkono wako Tulione tena Mtaani. Ameen
Mwenda zake ashakwenda na udikteta wa habari, mama asharuhusu uhuru wa habari ,soon utaliona mtaani
 
Back
Top Bottom