Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 66,692
- 172,638
Kwanza unajiuliza Mtanzania gani mwenye akili ya kujificha na 400B?Ring movement hizo.ni makida makida tu hapo,dili hizo znapigwa na wajuv wa mambo sahau kukamatwa na hata akidakwa itaishia habari za gazetin tu
Wanaoibaga less than 1B tu wanakimbiliaga Temeke wanakamatwa kama kuku! Hahah hawanaga akili hata za kutorokea mipakani.