Mtanzania apora Sh. bilioni 400 za Aga Khan

Ring movement hizo.ni makida makida tu hapo,dili hizo znapigwa na wajuv wa mambo sahau kukamatwa na hata akidakwa itaishia habari za gazetin tu
Kwanza unajiuliza Mtanzania gani mwenye akili ya kujificha na 400B?

Wanaoibaga less than 1B tu wanakimbiliaga Temeke wanakamatwa kama kuku! Hahah hawanaga akili hata za kutorokea mipakani.
 
Kudos to Remtulla

Aga Khan services are a reserve of the elite class, we couldnt care less about their firtunes

Tumechezewa vya kutosha
 
Utakufa kabla haijaisha in case fujo zako zikiishia kwenye kununua magari tu. Ukijimix kununua ndege miaka mitano unakuwa maskini wa kutupwa
Ni kweli kabisa. Wengi hela nyingi zimewaua. Maana huwa wanafanya mambo ya ajabu sana.
Mkumbuke Mtu mmoja wa Nigeria aliyekuwa anakodi ndege kufuata makahaba Ufaransa. Mwisho akaja kufa na UKIMWI!
 
Laizer kapata Billion 7 tu kachachawa,huku kuna zamadamu mwana wa kiinjekitile....

kajimuvuzishia Billion 400 brother ingekua ni mimi,ningejificha chini ya ardhi kama...

ni kunidaka wangekuja kunidakia Mbinguni,ila kwa hela hizo hamnidaki ng'o....
 
Huu ni mchezo sio mchafu ila ni umafia uliohalalishwa. Huyo jamaa hao waliomhoji akaahidi kurudi kwa mahojiano zaidi na akapotea mpaka leo walimpata vipi ndo wakamhoji?

Mtu hajulikani kila adress yake ni fake ila kuna waliofanikiwa kumpata na kumhoji kidogo.
Na baada ya kumuhoji wakamwacha aende
 
Kwanza unajiuliza Mtanzania gani mwenye akili ya kujificha na 400B?

Wanaoibaga less than 1B tu wanakimbiliaga Temeke wanakamatwa kama kuku! Hahah hawanaga akili hata za kutorokea mipakani.
Ha! Ha! Ha!

Umenikumbusha wale jamaa wa security group waliokimbia na hela wakaishia kununua viwanja kisemvule na magari used

Mwisho wa siku wakakamatwa km kuku
 
Kwa miamala yote iliyofanyika kama ni mtu wa kutolea hela dirishani badi ana adress inayoleweka maana bank kuna mambo za fingerprint, cctv camera n.k ina maana bank walifuta hata footage za cctv camera?

Mtu kama huyo unafanya naye mahojiano ambayo hayana hata traces? Hii ni michongo ya watu na inasisha kama hivyo maana biashara yao ishamalizika.

Kama biashara ingekua haijamalizika ungesikia balaa lake na mpaka wangemtia mkononi
Kuna mahali wametaja namba ya nyumba au mimi ndio sielewi.
 
Nimesoma hapo kwa huyo jamaa wa Nairobi mwenye hiyo kampuni ambayo imethibitika haijasajiliwa Kenya (GR Construction Limited) nime- conclude hao Aga Khan nao wanastahili lawama, haiwezekani wafanye kazi na kampuni isiyosajiliwa, hapa nahisi baadhi ya maofisa wake watakuwa wanahusika na huo mchezo mchafu.

Lakini pia, kitendo cha FBI kutilia shaka nyendo za huyo jamaa mpaka waanze kumtafuta inaonesha jinsi taasisi zetu za kiuchunguzi hapa ndani zilivyolala, au inawezekana nao ni sehemu ya hilo dili kuna kitu walipewa wakafungwa midomo.

Nasema hivi kwasababu mabenki yetu mara nyingi yamekuwa yakitoa taarifa za wateja wao kwa serikali, na hao Baclays wana tawi Tz, sasa vipi kwa huyo muhusika ishindikane kumgundua mapema? hapa wafanyakazi wa hiyo benki wanatakiwa kujibu maswali.
Kumbuka alikuwa anapokea fedha na kuzitoa kupitia akaunti ya bank iliyopo uswisi.
Lawama kubwa huko nje ya Nchi si Barclays Tanzania au FBME
 
Tusichanganye madesa, hapa uelewa wangu uko hivi:
Huyu jamaa alikuwa anatumia alias name, hilo Remtullah linaweza lisiwe jina lake lakini ndio lililosajiriwa benki zote na account za nje. Hapo Agha Khan wanadai hawajui hilo jina wala cheo chake ila ndio alikuwa anafanya transactions.

Benki ilimhoji kwa kutilia shaka mihamala mikubwa anayofanya mara kadhaa, ni sehemu ya taratibu za kibenki. Benki haikuwa na mamlaka ya kumkamata wala kumshikiria kwenye mahojiano kwa vile hakuwa wanted na sio kazi ya benki kukamata mtu yeyote anayetoa hela nyingi. Hakuwa anatafutwa wala Agha Khan haikureport upotevu wa fedha sasa mnaanzaje kulaumu benki.

Alikwenda na hakurudi kwa kujishtukia kisha ndio taarifa za kupotea fedha zimetolewa. Kwanza sijaona wapi Agha Khan wameclaim kuibiwa hela. It seems wenyewe hawajui au hawahitaji kuhusika na hizo fedha. Anayesema Agha Khan wameibiwa ni FBI na mabenki, AK wakiulizwa wanasema mabosi wako likizo ya corona, mwanasheria wao anasifia taasisi. They are cool, they don't give a fvk
 
Aisee Habari inasisimua na kupendeza kama movie za Hollywood
Zinaanza mtu anakura bata
Kisha wazee wa kazi FBI wanaingia kati
Sasa ule mchezo mara tanzania mara kenya kutafuta EVIDENCE ndo inafanya MOVIE kuwa moto

sasa hukute hollywood wameitengenezea MOVIE hii utaenjoy
Kama ile ya Leonardo de Caprio true story ya jamaa aliyekuwa akichonhesha cheque feki za benki, tamu balaa
 
Kudos to Remtulla

Aga Khan services are a reserve of the elite class, we couldnt care less about their firtunes

Tumechezewa vya kutosha
Kwanza hawajui hata kama wamepigwa, they don't care hata wanavyohojiwa, it's like whatever,

They don't give a toss, wameingiza na kuzitoa wenyewe kuhalalisha michezo fulani fulani within the organization, no doubt!

Na wameshaambiwa wamkane wafute traces zote, huyo dada wa Tz, yeye anawajuaje wafanyakazi wote wa organization??

Everyday is Saturday................................:cool:
 
Karibuni Kerege
 

Attachments

  • images (75).jpeg
    images (75).jpeg
    29.2 KB · Views: 2
Akili kubwa ndiyo hiyo ?
Mwingine angepiga angejioneshaonesha kwenye social media ...
Any way ngj FBI waingilie kati maana nao watawatumia watu wenye akili kubwa kum truck
Sahv hiyo ni kama game ya chase

Ova
 
30 Reactions
Reply
Back
Top Bottom