Mtanzania apora Sh. bilioni 400 za Aga Khan

Mtanzania apora Sh. bilioni 400 za Aga Khan

Nikuzipata kama hizo sifanyi kazi tena mm nikula bata tu

Huo Mzigo ukiuweka bank unakula unauacha anakuja mtoto anakula anaachia wajukuu kama kila siku ukiwa unakula bata la milioni 1 itakuchukua miaka 1100 kuja kuimaliza...Kwahiyo ukitumia vizuri kila siku milioni 1 kama kwa evarage utaishi miaka 80 basi unaweza kurithisha vizazi 15.
 
Daaa aisee dunia haiko sawa kabisa
Huo Mzigo ukiuweka bank unakula unauacha anakuja mtoto anakula anaachia wajukuu kama kila siku ukiwa unakula bata la milioni 1 itakuchukua miaka 1100 kuja kuimaliza...Kwahiyo ukitumia vizuri kila siku milioni 1 kama kwa evarage utaishi miaka 80 basi unaweza kurithisha vizazi 15.
 
Agakhan wanajua iyohela imeenda wapi

Wamewahoji wafanyakazi wa Aga Khan Foundation wa leo, je huko nyuma hakuwepo mtu fulani kiongozi wa hilo shirika mwenye jina hilo?
Janmohamed Rhemtulla was a very famous name amongst the Aga Khan community in Dar es Salaam!!! Kama mna mzigo wa kutosha nitafuteni niwaambie mtampataje!!!
 
Money laundering na wizi wa kifedha inafanyika kwenye nchi zenye weak governments

Weak governments and hasa dictatorships.

Scandals za kibenki namna hii huzikuti kwenye democratic countries zenye bunge,mahakama,vyombo vya habari na serikali inayofanya kazi hasa

Zinapita kwenye miserikali ya hovyo kama hii yenye urasimu na ukimya wa mtu au vyombo vya habari kuhoji

Still,this will happen again and again
wacha uwongo, ati scandal za kibenki namna hii hazitokei....
Taja nchi moja!
wewe na hao wezi ni kitu kimoja.
...and I am not saying this lightly.
Aluta continua.

I see this as a prelude to something fishy, as if its not already so,
 
Huyo Chifu wa matajiri anahusika tu, hela hiyo ni kubwa iwe binafsi au ya serikali lazima kuna watu wanajua(tracable) Sasa atajaficha na Udini, Serikali zitajisafisha benki ati oh....privacy ...lakini mwisho wa siku kuna watu wamehusika!

Sijui ni mimi ninayeona kuwa scandal hizi mara nyingi watu wanajulikana lakini ushahidi unakosekana, lakini hili ni kuwa ushahidi upo lakini watu hawajulikani?
 
hvi utajiskiaje kujua kwamba aga khan ni taasisi ilioundwa kwa lengo la kutakatisha fedha na hizi nyingine ni mbwembwe tu???
 
Simon Martha Mkina asante kwa taarifa hii.

Taarifa inasema "kiasi kikubwa cha fedha kilienda kwenye akaunti za mtanzania.."; je fedha nyingine zilienda kwa nani? Ikiwa AKF wanakana sio fedha zao, je hizo fedha zilitoka vyanzo vipi? Je hii scandal imeishia taasisi za Tanzania au kuna uhusika wa taasisi za nchi nyingine? Au kuna pattern kama hii nchi nyingine, kutokana na taarifa zenu za kiuchunguzi?

Inakuwaje fedha za taasisi, tena kiasi kikubwa cha fedha kama hicho, kipokelewe katika akaunti ya mtu binafsi na benki isishtuke kwa miaka mitatu?! Yaani tawi la NY ndio litoe tahadhari, ina maana benki zetu hazina safety nets za kukabiliana na utakatishaji fedha?!

Maswali bado ni mengi.
 
wacha uwongo, ati scandal za kibenki namna hii hazitokei....
Taja nchi moja!
wewe na hao wezi ni kitu kimoja.
...and I am not saying this lightly.
Aluta continua.

I see this as a prelude to something fishy, as if its not already so,
"It's not okay to 'steal from third world, corrupt countries' but it's very okay to spend the loot 'in first world, democratic havens' "- is the norm🙄
 
Haya mlioelewa hongereni. Nawapa pongezi. Thread imeeleweka au alfu holela holela
 
Back
Top Bottom