mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,831
- 106,018
Vp.wolf of wall street auKama ile ya Leonardo de Caprio true story ya jamaa aliyekuwa akichonhesha cheque feki za benki, tamu balaa
Ova
Vp.wolf of wall street auKama ile ya Leonardo de Caprio true story ya jamaa aliyekuwa akichonhesha cheque feki za benki, tamu balaa
Ndio nature ya wezi wa kibongo🤣🤣🤣Ha! Ha! Ha!
Umenikumbusha wale jamaa wa security group waliokimbia na hela wakaishia kununua viwanja kisemvule na magari used
Mwisho wa siku wakakamatwa km kuku
Nimesoma maelezo yote, sijaona mahali popote vyombo vyetu vya dola kama Polisi ikihusika kuchunguza, kukamata au kutoa taarifa.Nimesoma hapo kwa huyo jamaa wa Nairobi mwenye hiyo kampuni ambayo imethibitika haijasajiliwa Kenya (GR Construction Limited) nime- conclude hao Aga Khan nao wanastahili lawama, haiwezekani wafanye kazi na kampuni isiyosajiliwa, hapa nahisi baadhi ya maofisa wake watakuwa wanahusika na huo mchezo mchafu.
Lakini pia, kitendo cha FBI kutilia shaka nyendo za huyo jamaa mpaka waanze kumtafuta inaonesha jinsi taasisi zetu za kiuchunguzi hapa ndani zilivyolala, au inawezekana nao ni sehemu ya hilo dili kuna kitu walipewa wakafungwa midomo.
Nasema hivi kwasababu mabenki yetu mara nyingi yamekuwa yakitoa taarifa za wateja wao kwa serikali, na hao Baclays wana tawi Tz, sasa vipi kwa huyo muhusika ishindikane kumgundua mapema? hapa wafanyakazi wa hiyo benki wanatakiwa kujibu maswali.
Nyaraka za akaunti zilizoko Benki ya Barclays zinazoonyesha mmiliki wake ni Mtanzania – kwa miaka mitatu mfululizo, zimetumika kutakatisha zaidi ya Sh. bilioni 400, fedha zilizokwapuliwa kutoka Taasisi ya Mtandao wa Maendeleo wa Aga Khan (AKDN), uchunguzi umethibitisha.
Kiasi hiki ambacho ni zaidi Dola za Marekani milioni 176, zinatosha kujenga vyumba vya madarasa ya kisasa 10,000 yenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 450,000 wa shule za sekondari nchini – ikiwa kila darasa litabeba wanafunzi 45. Darasa la kisasa lenye samani zake linaweza kufikia Sh. milioni 40,000.
Pia fedha hizi ni sawa na mapato ya serikali kwenye mauzo ya makaa ya mawe Ruvuma kwa kipindi cha miaka mitatu (2017-2020) ambako zaidi ya vijana 700 wameajiriwa. Ni sawa na gharama za kujenga barabara ya kilomita 270 kwa kiwango cha lami, ikiwa kilometa moja itajengwa kwa Sh. bilioni 1.5.
Kutoa fedha dirishaniPamoja na kwamba maelezo ya awali ya benki yanakanganya, lakini inawezekana siku alipokwenda kutoa fedha, dirishani, aliitwa na uongozi na akaahidi kurejea siku inayofuata.
Lakini hakutokea na hakuna traces. Akapotea. Kama unavyosema, ni mchezo unaohusisha idadi kubwa ya watu wakiwamo maofisa wa benki na hata taasisi
Anakupa 0.15% ya hela aliyokwapua kama rushwa nadhan utafunga domo. Unafikiri hao waliochanganya hiyo habari mpaka haieleweki walipewa nini? Hahahahha
Mtu wamemhoji ati wakaagana atarudi tena mpaka leo et hawajui alipo.
Kabisa na siajabu pesa iko nchi za visiwani hukoHakuna mbongo anaweza kupiga hela kwa kutumia akili hii... Hizi ni raia za russia uko.. india ... Imeisha hiyo ngoma imeliwa hiyo
Agakhan foundationAgakhan gan Kwanza jaman,sijaelewa n hii hospital au?
Mambo n mengi muda mchache
Unafikiri ni mbongo huyuBongo kila mtu ni mwizi na jambazi
Kwani Hakuna wazungu au wahindi wabongo ?Unafikiri ni mbongo huyu
Huyu atakuwa mhindi au mzungu kapiga
Ova
ni ya chai kabsa ata mboga haitoshi kununuliaPesa ndogo mno
wakikutia huo mpunga unachagua pini yoyote unayotaka tena level za kina mwavita makambaBil 400 sio mzigo wa kitoto.