Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Mwili wa Mtanzania Caroline Tom Mmari ambaye aliripotiwa kupotea May 20.2010,na kupatikana akiwa amekufa huku mwili wake ukiwa umefichwa/zikwa nyuma ya nyumba aliyokuwa akiishi Jijini Los Angeles,unatarajiwa kuzikwa kesho July 16.2010.
Taarifa nilizozipata kutoka kwa ndugu wa karibu na Marehemu zinasema kutakuwa na Ibada takatifu ya kumwombea marehemu itafanyika katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania KKKT Usharika wa Azania Front kuanzia saa 3 na nusu asubuhi (Saa za Tanzania) na Maziko kufanyika katika makaburi ya Kinondoni saa 6 na nusu Mchana (Saa za Tanzania).
Bwana ametoa na Bwana ametwaa Jina la Bwana libarikiwe.
Taarifa nilizozipata kutoka kwa ndugu wa karibu na Marehemu zinasema kutakuwa na Ibada takatifu ya kumwombea marehemu itafanyika katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania KKKT Usharika wa Azania Front kuanzia saa 3 na nusu asubuhi (Saa za Tanzania) na Maziko kufanyika katika makaburi ya Kinondoni saa 6 na nusu Mchana (Saa za Tanzania).
Bwana ametoa na Bwana ametwaa Jina la Bwana libarikiwe.