Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,427
Huyo wenu tulishamuangamiza. Mkituletea mwingine atafuata njia hiyo hiyo. Huku hatucheki na gaidi. Tunawalipia nauli waende wakafire mabikira huko "mbinguni".haya basi mtuache na gaidi wetu.
Huyo wenu tulishamuangamiza. Mkituletea mwingine atafuata njia hiyo hiyo. Huku hatucheki na gaidi. Tunawalipia nauli waende wakafire mabikira huko "mbinguni".haya basi mtuache na gaidi wetu.
Aisee kumbe yule gaidi wetu aliyekua gerezani kwenu hapo kenya mliamua kumnyonga?Huyo wenu tulishamuangamiza. Mkituletea mwingine atafuata njia hiyo hiyo. Huku hatucheki na gaidi. Tunawalipia nauli waende wakafire mabikira huko "mbinguni".
Ulikuwa unataka akule ugali na maharagwe ya serikali bila kulipia makosa aliyofanya? Huyo tulinyonga zamani na tukasahau. Halafu mwili imeshaletwa Tanzania.Aisee kumbe yule gaidi wetu aliyekua gerezani kwenu hapo kenya mliamua kumnyonga?
Baada ya kukimbia wakarudi na kuwauwa mashababiMakurutu wa Kenya Ranger Strikeforce waliokuwa katika mazoezi yao huko Lamu waliwaangamiza kadhaa
View attachment 1667371
Tatizo sio uraia wa hao Magaidi, tatizo ni kwanini KDF walijificha badala ya kupigana, au kwasababu walijua kuna mtanzania KDF wakaogopa?, kweli wakenya mnatuogopa sana
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Tayari wamarekani 3 walishauliwa too late,Baada ya kukimbia wakarudi na kuwauwa mashababi
Umeiona logic yako vile haingiliani na ulichomaanisha
Sidhani kama unaelewa unalolisema. KDF pamoja na baadhi ya wanajeshi wa USA walikua pamoja katika hiyo kambi, ila KDF walikua wengi, Alshabaab walipovamia, KDF wote walikimbia wakaacha wamarekani wakipigana peke yao, hadi Alshabaab walupoondoka, KDF wakaomba msaada toka Nairobi ndio wakaanza kuwatafuta mafichoni na kuwaua baadhi yao, tayari Wamarekani 3 walishauliwa.Umeiona logic yako vile haingiliani na ulichomaanisha
Hao baada ya kuwapiga marekani vijana wetu wa kupadua vichwa wakamua kuwapeleka mbele za haki kabla wawamalize wamarekani
Jamaa anakimbia sehemu ambayo hajavamiwa, kweli
Ulishawai ingia katika kambi ya jeshi ambayo inatumika na nchi mbili tofauti kweli au unabwetuka tuSidhani kama unaelewa unalolisema. KDF pamoja na baadhi ya wanajeshi wa USA walikua pamoja katika hiyo kambi, ila KDF walikua wengi, Alshabaab walipovamia, KDF wote walikimbia wakaacha wamarekani wakipigana peke yao, hadi Alshabaab walupoondoka, KDF wakaomba msaada toka Nairobi ndio wakaanza kuwatafuta mafichoni na kuwaua baadhi yao, tayari Wamarekani 3 walishauliwa.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Alshabab sehemu wanauliwa hupangwa na kupigwa picha sasa wewe nionyeshe kichaka hapo km wale wa juzi walioliwa na special kule kichakaniSidhani kama unaelewa unalolisema. KDF pamoja na baadhi ya wanajeshi wa USA walikua pamoja katika hiyo kambi, ila KDF walikua wengi, Alshabaab walipovamia, KDF wote walikimbia wakaacha wamarekani wakipigana peke yao, hadi Alshabaab walupoondoka, KDF wakaomba msaada toka Nairobi ndio wakaanza kuwatafuta mafichoni na kuwaua baadhi yao, tayari Wamarekani 3 walishauliwa.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo wamarekani wanaolalamika kwamba KDF walijificha na kuwaacha Peke yao wanadanganya?, hovyo sana KDF. You have very weak and stupid army, wacha kutetea ujinga wenu.Ulishawai ingia katika kambi ya jeshi ambayo inatumika na nchi mbili tofauti kweli au unabwetuka tu
Kambi za jeshi zipo na sectors we kibwengo, wanajeshi wata share kambi lkn wala hawawezi share sectors..
Kila watu na sehemu yao mnenguaji
Watu wakutoka forces tofauti huaga wanagawana sehemu bila kuingiliana kijinga jinga...
Pale lamu USA wana sehemu yao na KDF pia vile vile, al shabab walivamia sehemu ya USA
Wamarekani wanalalamika hadi wiki hii kwa kitendo cha KDF kukimbia na kuwaacha wenyewe wakipigana, wewe unaulizia picha, wewe onyesha picha za hao wamarekani 3,waliouliwa, au ni uongo hawajauliwa hadi uone picha?Alshabab sehemu wanauliwa hupangwa na kupigwa picha sasa wewe nionyeshe kichaka hapo km wale wa juzi walioliwa na special kule kichakani
Kdf weak and stupid Amy wamarekani wanalalamika kuachwa wenyeweKundi la Alshabaab limethiri ya kwamba raia wa Tanzania alihusika katika shambulizi la Manda airfield huko Lamu Kenya.
Jamaa huyu alislimu na kuwa muislamu mwaka wa 2015, kisha akapelekwa Somalia kupigana.
Nimewaambia mara ngapi nyie bongo kwamba mna shida ya ugaidi nchini mwenu. Tanzania ndio imefuatilia Kenya kutoa idadi kubwa ya wapiganaji Somalia.
Sasa hivi mmezingirwa na vita vya magaidi huko Mozambique na Congo, very soon vijana wengi watazidii kujiunga na vikundi hivi na kisha kuwatishia usalama wenu.
Mjiadhari. Kijana wenu wa pili kuuliwa Kenya kwa sababu ya ugaidi after yule Mberesero.
=========
NAIROBI (SD) – Al-Qaeda linked terror group Al-Shabaab has for the first time released a video displaying the names and faces of five militants who attacked a US naval base in Kenyan coastal region.
Simba camp which will mark the first anniversary of the attack is located in Manda Bay of Lamu region.
Early in the morning, on January 5th last year, heavily armed al-Shabaab fighters stormed heavily fortified US base, prompting fierce gunfire with Kenya and US troops in the base.
The attack which lasted for more than an hour left dead three Americans and number of Kenyan soldiers. Six aircrafts were also destroyed.
Al-Shabaab on Monday released over 39 minutes long purported video of the fighters who took part in the attack.
The men were identified as Moulana Faruq Moulana, (Ahmed Al-Muhajir), who leading men was from Yemen, Abubakar Al-Muhajir, a Tanzanian and Ali Muhammad Ali, (Qudama Al-Muhajir) from Burji tribe in Ethiopia Ethiopia.
Others are Abdulwali Muhammad Ibrahim “Moallim Omar” and Adam Iman Yusuf (Abdulkareem) both from Somalia.
According to Kenya police report released hours after the attack last year, five militants were neutralised in the attack but it is not clear whether the five are the aforementioned individuals in the al-Shabaab’s video.
Last February, the U.S. military claimed to have killed a senior al-Shabab leader behind the deadly Jan. 5 attack on the Manda Bay base in precision airstrikes, along with his wife in Hilib town, an al-Shabaab stronghold town.
A claimed dismissed by Somalia’s largest telecommunications company, Hormuud which stated the individual who was killed in the attack was one of its employees saying Mohamud Hajji Salad (the subjected targeted) “had nothing to do with any group or organization.”
Early last month, the terror group also released a video displaying the names and faces of five assailants who attacked a hotel in Nairobi in 2018.
The five attackers of DusitD2 hotel were named as Osman Ahmed Hassan, Ali Salim, Abdigani Arap Yusuf, Mohamed Adam Nur and Mahir Khalid. The group said
In the video, the attackers said that their assault is a response to the decision by American President Donald Trump to recognise Jerusalem as the capital of the ‘Jewish state’.
Al-Shabaab has been carrying out attacks in Kenya since 2011 when the East Africa nation sent its troops to Somalia to al-Shabaab fighters.
The group also attacked Kenya military inside Somalia, killing hundreds of soldiers in two deadly raids on Kenya Defence Forces (KDF) bases in El-Adde and Kulbiyow towns in Southern Somalia.
Source:
View attachment 1667347
Soma upuuzi wenu huu mnaoita ni jeshi la nchi US army criticises KDF action during Manda Bay attackUlishawai ingia katika kambi ya jeshi ambayo inatumika na nchi mbili tofauti kweli au unabwetuka tu
Kambi za jeshi zipo na sectors we kibwengo, wanajeshi wata share kambi lkn wala hawawezi share sectors..
Kila watu na sehemu yao mnenguaji
Watu wakutoka forces tofauti huaga wanagawana sehemu bila kuingiliana kijinga jinga...
Pale lamu USA wana sehemu yao na KDF pia vile vile, al shabab walivamia sehemu ya USA
Watakimbiaje sehemu ambayo hawakuwepoSoma upuuzi wenu huu mnaoita ni jeshi la nchi US army criticises KDF action during Manda Bay attack
Ukipigwa lazima ulalamike na utie hurumaKdf weak and stupid Amy wamarekani wanalalamika kuachwa wenyewe
Hehehe!!umeshachanganyikiwa...rudia tena vizuri post yangu, kisha ujibuWamarekani wanalalamika hadi wiki hii kwa kitendo cha KDF kukimbia na kuwaacha wenyewe wakipigana, wewe unaulizia picha, wewe onyesha picha za hao wamarekani 3,waliouliwa, au ni uongo hawajauliwa hadi uone picha?
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Wajifiche vipi na wakati kila watu na sehemu yaoKwahiyo wamarekani wanaolalamika kwamba KDF walijificha na kuwaacha Peke yao wanadanganya?, hovyo sana KDF. You have very weak and stupid army, wacha kutetea ujinga wenu.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Ulishawai ingia katika kambi ya jeshi ambayo inatumika na nchi mbili tofauti kweli au unabwetuka tu
Kambi za jeshi zipo na sectors we kibwengo, wanajeshi wata share kambi lkn wala hawawezi share sectors..
Kila watu na sehemu yao mnenguaji
Watu wakutoka forces tofauti huaga wanagawana sehemu bila kuingiliana kijinga jinga...
Pale lamu USA wana sehemu yao na KDF pia vile vile, al shabab walivamia sehemu ya USA