Mtanisamehe kwa hili

Ukikua utaacha.
 
Itanichukua chini ya miaka 2 tu Kununua gari level za harrier, miaka 4 kupata range. So naona sio case kwangu. Mifumo ninayo sasa
Kila la kheri kaka.

Unakaa kwa Shemeji. (Mume wa Dada yako).
Sijui ni wap. Ila bila shaka utakuwa Dsm au Dodoma coz umetaja uber/bolt hapo.

Dada yako bila shaka ana 30+yrs.
Je ana gar?.
Baba yako na Mama yako walivyokuwa na 35 yrs walikuwa wana magar?.

Nje ya Mada.
Washua wako je wako mjini pia?.
Nina taka kujenga hoja yangu based na haya maswal niliyokuuliza.
 
Mil 6 utanunua gari gani mkuu
 
Thanks mkuu that's well said.

Ila nia yangu ni kutoa watu katika complacency ya kukubali maisha walivyo nayo ilihali they can be more. Sure life is unpredictable I agree with you
 
Kwanini usione hoja na sio maisha niyaishio mimi. Hakika mmatumbi habebeki

Sio kwamba watu hawajakuelewa.
Ila wanashangaa ww kushangaa watu wenye 35+yrs kukosa gar na kupanda daladala.

Na wanashangaa pia anayesema bado hajatoka kuanza kujitegemea na akaona uhalisia wa maisha jinsi ulivyo.
 
Mkuu nipenda umeonyesha maturity..sina gari ila Nina uhuru. Nanapenda mwendokasi kuliko daladala
 
Sio kwamba watu hawajakuelewa.
Ila wanashangaa ww kushangaa watu wenye 35+yrs kukosa gar na kupanda daladala.

Na wanashangaa pia anayesema bado hajatoka kuanza kujitegemea na akaona uhalisia wa maisha jinsi ulivyo.
Kutokuwa na mji wangu sio kigezo cha kujua maisha au kutokuya jua. Life lessons don't come with age
 
In short lile gari ni la home. Wote wako vyema. Ila that's not the issue sitaki watu waone kuwa na tokea maisha mazuri or soo ila nataka waone hoja yangu.

Sitaki kabisa ila ya ku judge personal life. Hiyo haina maana yoyote
 
Umesharudi? Si juzi ulisema unapumzika kuingia JF?

Ila naona angalau unajitahidi kutochanganya lugha japo bado kidogo. Endelea kujitahidi hivyo hivyo. Kwa mengine yote uliyoandika hapa unastahili tu kuambiwa Nyanoko faza! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Thanks mkuu that's well said.

Ila nia yangu ni kutoa watu katika complacency ya kukubali maisha walivyo nayo ilihali they can be more. Sure life is unpredictable I agree with you
Una hoja nzuri, ni 40 Sasa sina gari ninakaz nzur, watoto wanasoma vizuri 6 mil ada kwa mwaka napenda magari sana. Lkn what's the priorities? Hujaanza kijitegemea kuna wadogo zangu walianza kununua magari baadae baada ya kuongeza watoto say 2,3 wakaondoa magari, sikuwahi kuuliza Sabab ni nn, ni maisha ndugu.

Kuna muda gari utaipaki tu mtoto aende shule, akiumwa utaihitaji, what's the priorities?
 
Nani ana namba za MGANGA mzurii nikachukue ndagu..β˜ΊοΈπŸ˜Šβ˜ΊοΈπŸ˜€

Na Mimi niwe kama GSM wa katoro maana sio kwa haya masimango mpaka tunatetemeka

Huku unadaiwa Kodi , Huku vikoba, Huku rejeshoo, Huku ada za watoto, hakika kuwa mwanaume ni zaidi ya ku put food kwa mezaa.
 
Kutokuwa na mji wangu sio kigezo cha kujua maisha au kutokuya jua. Life lessons don't come with age
Nikuambie tu. Its matters a lot.

Raha ya Ngoma ni uingie ndan ucheze.
Ukiwa kwa nje unaweza sema wanaocheza ile ngoma hawachezi vizuri.
Ila ukipewa nafas na ww ucheze ndio unaweza kusema ww ni bora kwa namna yake. Na watu wakaona na wakakubali kuwa its true ww ni bora.

Kuna mtu anaweza kushangaa inakuwaje mtu ana 40+yrs na anafanya kaz serikalini au sehem nzur tu ila bado amepanga na hana gar.

Kumbe hajui nyuma yake kwa miaka na miaka anamuuguza baba/Mama yake kijijini. Akipona wanaumwa baba/mama mkwe. 😊😊😊

una watoto watatu ada karibia 10mill kwa mwaka.
Una ndugu watatu wanne unasaidia na wengne unasomesha.
Kuna Misiba, sherehe na dharula za hapa na pale.

Huyu mfanyakaz hata akilipwa 3mill kwa mwezi bado haitatosha.
 
Sasa huyo mtu Unafikiri utamkuta kwenye usafiri wa umma. Kwanza majukumu yake hayamruhusu kabisa. It's illerevant poor people who think public transport is normal
 
Sidhani kama una hoja ndugu. Unavyo sema unaipaki it means ukiinunua for leisure au?

Hapo inaonesha huna plan nzuri na budget nzuri ya pesa mpka gari imekuwa kama weak point ya kusema eti inakumalizia pesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…